Chinona
Member
- Jul 14, 2017
- 53
- 44
Kwenye mitandao ya kijamii niliona kua kuna maandamono yaliyo ratibiwa na baadhi ya wananchi wa USA kwenda area 51 kushuudia kama kweli kuna uwepo wa viumbe wa ajabu huko.
Na maandamono hayo yalipangwa kutekelezwa jana tar 20 sept 2019......kwa wajuz wa mambo vp wamefanikiwa au ilikua mikwara tu?
Na maandamono hayo yalipangwa kutekelezwa jana tar 20 sept 2019......kwa wajuz wa mambo vp wamefanikiwa au ilikua mikwara tu?