Kanyimwa zamana karudishwa korokoroni kunyea ndooNdugu wana bodi habali za siku nyingi, napenda kuuliza juu ya uamuzi wa rufaa ya mahakama dhidi ya mwenyekiti wa zamani wa ccm mkoa wa Dar juu ya dhamana yake leo hii, mwenye taalifa naomba anijulishe kwa sasa nipo shambani.