Habari zenyu bana?niliweka topic hapa jamvini leo asubuhi ikigusia mada tajwa hapo juu lakini ghafla
wana JF walipoanza kuchangia ikatoweka,vipi wazee kwani hapa napo pana uchakachuaji?Nijuzeni wakuu kwani ni mara yangu
ya kwanza leo kujitokeza kuchangia kama member wa JF.
wana JF walipoanza kuchangia ikatoweka,vipi wazee kwani hapa napo pana uchakachuaji?Nijuzeni wakuu kwani ni mara yangu
ya kwanza leo kujitokeza kuchangia kama member wa JF.