Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
Imekuwa ni jambo la kawaida kwa mtu/watu wanapopata safari za kikazi au kupumzika wengi hushikwa na hamu ya kuchepuka iwe ni mwanamke/mwanaume.
Mifano ya haraka ni watu wanapoenda kwenye semina mikoani au wao kuja Dar. Au wafanyabiashara kuja Dar au kwenda mikoani kupeleka biashara zao. Nimefanya utafiti wengi wao huchepuka pindi wafanyapo safari hizo.
Swali: Vipi kuhusu watu wenye vyeo vikubwa kama Raisi na Mawaziri wakuu wanapofanya safari za kikazi nje ya nchi kwa week kadhaa wanauwezekano wa kuchepuka?
Kama wanaweza, ebu mwenye uelewa wa ile misafara je, hapa tubadilishane uzoefu mbinu waheshimiwa wanazotumia kuvuta totozi wawapo kwenye Ziara.
Tumeshuudia hata mastaa wakubwa waliokuja tanzania kama samweli Etoo alichepuka so kunauwezakano hata Raisi akachepuka kama hakuongozana na mke wake kwenye Ziara husika?
Mifano ya haraka ni watu wanapoenda kwenye semina mikoani au wao kuja Dar. Au wafanyabiashara kuja Dar au kwenda mikoani kupeleka biashara zao. Nimefanya utafiti wengi wao huchepuka pindi wafanyapo safari hizo.
Swali: Vipi kuhusu watu wenye vyeo vikubwa kama Raisi na Mawaziri wakuu wanapofanya safari za kikazi nje ya nchi kwa week kadhaa wanauwezekano wa kuchepuka?
Kama wanaweza, ebu mwenye uelewa wa ile misafara je, hapa tubadilishane uzoefu mbinu waheshimiwa wanazotumia kuvuta totozi wawapo kwenye Ziara.
Tumeshuudia hata mastaa wakubwa waliokuja tanzania kama samweli Etoo alichepuka so kunauwezakano hata Raisi akachepuka kama hakuongozana na mke wake kwenye Ziara husika?