Vipi kuhusu huu mfumo wa HESLB wa kuonesha madeni?

MPEKENYELA

Member
Mar 7, 2019
28
65
Samahan wadau,

Kumekuwa na link inyosambazwa https://olas.heslb.go.tz/index.php/olas/user/register/repay?t=2 ukiingia inaonyesha deni tofauti na lile lililopo kwenye salary slip kwa wale walioanza kukatwa.

Je, hii ina maana gan? Kuna marekebisho tusubiri au huu mfumo hauna correlation na hazina? Je, huu mfumo ilikuwepo zamani? Na kama ilikuwepo wazoefu naomba kujua awali na sasa kuna mabadiliko yoyote ya madeni?

Mwenye uelewa tafadhali
 
Huo mfumo upo tangu awali kilichofanyika nikurejebisha madeni tatizo moja link Sasa haifunguki
 
salary slip deni lingine kwenye mfumo deni lingine....which is witch ???>>

Deni walilo nalo ni tofauti na deni lililopo kwenye salary slip,na den walilo nalo ndo wamelibadilisha wakakata value retention fee na penalty kias walikuwa wanasubir wanufaika wamalize kulipa deni la kwenye slip halafu waanze tena kulipa den walilo nalo wao,na hawataki ili deni liishe
 
Back
Top Bottom