Vipi kuhusu hatima ya wanafunzi waliomaliza form six ambao hawatapata division one na two?

Tusubir tuone itakuaje..bt form four waliopita si wamepata post mpk div3 i hope hakuna kilichobadilika..itakia ni principle 2 na subsidiary..km niko wring wadau watanisahihisha!
 
Tusubir tuone itakuaje..bt form four waliopita si wamepata post mpk div3 i hope hakuna kilichobadilika..itakia ni principle 2 na subsidiary..km niko wring wadau watanisahihisha!
Sio principle mbili na subsidiary bali ni principle mbili tuu ndani ya masomo matatu ya mchepuo.
 
Nachokiona madogo hamsomi guidelines mnasoma chartings za whatapp!hembu onyesha ni wapi guidelines za Bodi na TCU zinasema hayo
 
Subiri mkuu utajua tu ndani ya week hii, tcu guidebook 2016 2017 bado haijatoka
Umeona wapi hii

Jamani someni vizuri guidelines za bodi

Wanafunzi wanaosoma MD,DDS,BVM na MBBS wenye 1na 2 watapewa grants (always huwa wanapewa) lakini wenye 3 watapewa loan

Sisi wa kozi zingine kama umemeet vigezo utapewa LOAN na utailipa ukimaliza shule
 
Back
Top Bottom