Habari Wapiganaji, mimi ni muajiriwa wa serikalini, nipo local government nimeliona tangazo la kazi la TRA nafasi 400 zimenivutia, na vile vvile nina ndoto ya kuhama local government.
kwa bahati nzuri nimelisoma hili tangazo vizuri, nikakutana na kipengele kinasema mtumishi aliyeajiriwa aitishe barua kwa mwajiri nami bila kuchelewa nikaandika barua na kwenda kwa DED, DED akaniabia niende kwa HR, Baada ya kufika kwa Hr kagoma katu katu kunipitishia barua yangu.
Sasa wadau swali langu ni kwamba je niombe hivyo hivyo bila kupitisha kwa DED?
Na je ikitokea nikapata kazi TRA, check number haiwezi ku double click.
Wazoefu, maafisa utumishi naombeni ushauri wenu.
kwa bahati nzuri nimelisoma hili tangazo vizuri, nikakutana na kipengele kinasema mtumishi aliyeajiriwa aitishe barua kwa mwajiri nami bila kuchelewa nikaandika barua na kwenda kwa DED, DED akaniabia niende kwa HR, Baada ya kufika kwa Hr kagoma katu katu kunipitishia barua yangu.
Sasa wadau swali langu ni kwamba je niombe hivyo hivyo bila kupitisha kwa DED?
Na je ikitokea nikapata kazi TRA, check number haiwezi ku double click.
Wazoefu, maafisa utumishi naombeni ushauri wenu.