Mchaga
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 1,378
- 204
Vyombo mbalimbali vya habari viliripoti kuhusu kauli hii ya Raisi wa Rwanda Paul Kagame kuwa Kuwepo kwa Bandari ya Dar Tanzania ilipaswa kupaa kabisa kiuchumi hasa kutokana na kuzungukwa na nchi kadhaa zinazo tegemea kusafirisha mizigo yake .
Naomba unifahamishe chombo kimojawapo kabla sijachangia