mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,017
- 3,037
Katika watu wanaouharibu ulimwengu ni wanasiasa,
Unaweza mkajikuta mpo watu kumi Chadema, mkidhani mna nia moja kumbe nane kati yenu ni makada wa CCM. Baadae unasikia tu wameunga juhudi halafu mnaanza kuwalaumu eti wamenunuliwa hao wamerudi kwao.
Unadhani serikali ni jinga mpaka imteue nassari, au 'juakali' waongoze wilaya/mkoa. Yaani mtu atoke upinzani vuup! Afikie kuula CCM/Serikalini? Kama uliwaza hivyo ulikosea.
Mkae mkijua baada ya shetani anafuata mwanasiasa.
Unaweza mkajikuta mpo watu kumi Chadema, mkidhani mna nia moja kumbe nane kati yenu ni makada wa CCM. Baadae unasikia tu wameunga juhudi halafu mnaanza kuwalaumu eti wamenunuliwa hao wamerudi kwao.
Unadhani serikali ni jinga mpaka imteue nassari, au 'juakali' waongoze wilaya/mkoa. Yaani mtu atoke upinzani vuup! Afikie kuula CCM/Serikalini? Kama uliwaza hivyo ulikosea.
Mkae mkijua baada ya shetani anafuata mwanasiasa.