M msasa Member Nov 27, 2008 81 1 Nov 2, 2010 #1 Wana jf sijapata matokeo ya kalapina naomba mwenye habari zake atupashe
P prossy New Member Nov 1, 2010 4 0 Nov 2, 2010 #2 Mkuu,mimi ni Legend wa Block 41,watu wemetusnich.... Tumekosa Udiwan,CCM wamechukua,ntatuma fig kamili...
Mkuu,mimi ni Legend wa Block 41,watu wemetusnich.... Tumekosa Udiwan,CCM wamechukua,ntatuma fig kamili...
The Finest JF-Expert Member Jul 14, 2010 21,605 6,071 Nov 2, 2010 #5 prossy said: mkuu,mimi ni legend wa block 41,watu wemetusnich.... Tumekosa udiwan,ccm wamechukua,ntatuma fig kamili... Click to expand... asikate tamaa bado ana nafasi
prossy said: mkuu,mimi ni legend wa block 41,watu wemetusnich.... Tumekosa udiwan,ccm wamechukua,ntatuma fig kamili... Click to expand... asikate tamaa bado ana nafasi
S Selemani JF-Expert Member Aug 26, 2006 947 292 Nov 3, 2010 #7 Kalapina aligombea udiwani? Haa haaa, kura za masela hazikutosha. Daaamn, he would have made an interesting diwani.
Kalapina aligombea udiwani? Haa haaa, kura za masela hazikutosha. Daaamn, he would have made an interesting diwani.
Tonge JF-Expert Member May 7, 2010 695 12 Nov 3, 2010 #8 Duuuu, ila asife moyo aendelee kuwa karibu na wananchi tu mwaka 2015 anaweza kupata udiwani.:doh: