Uwaga wanakuaga na akili sana wakuapo hao.................nina first hand experiance na hayo mavitu, no qualms kabisa.............i'm mother i know, unawafundisha watoto kutoyaogopa hayo mavitu
Mkuu Mzizimkavu umenitisha kwa vitu hivi. Kumbe watu wanaharibu watoto wao wenyewe. Lazima tujiulize hapa chanzo ni wazazi wao kutokana na familia za kilevi au kujisahau na ujinga?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.