Hivi ni nini sababu ya mitandao mingine ya simu kuanza na speed nzuri ya data katika internet halafu baadaye speed inafifia?
Na je speed ikififia hawana njia ya kufanya ili speed yao iliyoanza kufifia iwe nzuri tena kama mwanzo? Hawana kabisa njia ya ku-maintain speed isipungue? Maana airtel walioanza na speed nzuri tu sasa hivi inaboesha na sijui kama watarudi katika speed ile au ndo basi tena. Na tigo wanaosifiwa kwa sasa, je na wao si ni swala la wakati tu watakuja ku-slow down?
Huo mkongo wa taifa mbona hata sioni cha ziada sana ulichofanya kwa upande wa speed. Maana tulidhani ingekuwa kama katika nchi za wenzetu huko nje
Wataalam tupeni mchango wenu!
Na je speed ikififia hawana njia ya kufanya ili speed yao iliyoanza kufifia iwe nzuri tena kama mwanzo? Hawana kabisa njia ya ku-maintain speed isipungue? Maana airtel walioanza na speed nzuri tu sasa hivi inaboesha na sijui kama watarudi katika speed ile au ndo basi tena. Na tigo wanaosifiwa kwa sasa, je na wao si ni swala la wakati tu watakuja ku-slow down?
Huo mkongo wa taifa mbona hata sioni cha ziada sana ulichofanya kwa upande wa speed. Maana tulidhani ingekuwa kama katika nchi za wenzetu huko nje
Wataalam tupeni mchango wenu!