sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,564
- 11,478
Vipi ukiota ndotoni??Kuna watatu walisema kwa kiburi kuwa Mh. Lowasa atafariki kabla ya uchaguzi wa Oct. 2015. Wamefariki wao. Acheni Mungu aitwe Mungu.
It is stupidity at its highest order kumtabilia mtu kifo awaye ye yote.