Vipi Afya ya Prof. Mark Mwandosya?

reformer

JF-Expert Member
Jul 22, 2011
387
101
Prof. Mwandosya vipi..anaendeleaje jamani? Ni muda umepita sasa, hatujasikia updates za afya ya huyu jamaa.
Wenye habari kuhusu afya ya huyu jamaa naomba mnijuze.
 
Suala la msingi pia ni kipi kilichomsibi ghafla akiwa katikati ya kikao cha bunge na hadi leo hii amekaa kando....
 
nilisikia anasumbuliwa na kansa ya damu na hali yake bado ni tete yuko india hajarudi na habari nyingine nilizo zikia kuwa yule mpinzaniwake wa ubunge mbeya amesha anza kampeni za chini kwa chini ili aweze kuchukua jimbo kwani punde prof atakapo rejea kutoka india ataachia ngazi kote kuanzia ubunge hadi uwaziri.
 
Mungu apishilie mbali...............kuna mtu alinieleza a week ago, kuwa hali yake ilikuwa sio nzuri sana. Ee Bwana YESU nakuomba damu yako iliyomwagika pale Kalvari imponye baba huyu. Naamini katika uponyaji, kama ulimfufua Lazaro naamini utamponya baba huyu maana kama Martha na dada yake walivyolia na kuomboleza kwa ajili ya kaka yao, nami nakulilia kwa ajili ya baba huyu. Kama vile Dorkas alivyoombewa uhai tena kwa vile alikuwa anawashonea mitume makanzu, nami naomba uponyaji wa baba huyu kwa vile elimu yake na maarifa yake ni tunu kwa Watz.

Jina lako litukuzwe............Amen
 
Nisilowezekana kwa binadamu kwa MUNGU linawezekana; tunamuombea mwenyezi aweke mkono wake juu ya maradhi yanayomsibu! As long as hakati tamaa maradhi haya atapona.
 
Mungu apishilie mbali...............kuna mtu alinieleza a week ago, kuwa hali yake ilikuwa sio nzuri sana. Ee Bwana YESU nakuomba damu yako iliyomwagika pale Kalvari imponye baba huyu. Naamini katika uponyaji, kama ulimfufua Lazaro naamini utamponya baba huyu maana kama Martha na dada yake walivyolia na kuomboleza kwa ajili ya kaka yao, nami nakulilia kwa ajili ya baba huyu. Kama vile Dorkas alivyoombewa uhai tena kwa vile alikuwa anawashonea mitume makanzu, nami naomba uponyaji wa baba huyu kwa vile elimu yake na maarifa yake ni tunu kwa Watz.

Jina lako litukuzwe............Amen

Amen Mchungaji...duu!
 
Mungu apishilie mbali...............kuna mtu alinieleza a week ago, kuwa hali yake ilikuwa sio nzuri sana. Ee Bwana YESU nakuomba damu yako iliyomwagika pale Kalvari imponye baba huyu. Naamini katika uponyaji, kama ulimfufua Lazaro naamini utamponya baba huyu maana kama Martha na dada yake walivyolia na kuomboleza kwa ajili ya kaka yao, nami nakulilia kwa ajili ya baba huyu. Kama vile Dorkas alivyoombewa uhai tena kwa vile alikuwa anawashonea mitume makanzu, nami naomba uponyaji wa baba huyu kwa vile elimu yake na maarifa yake ni tunu kwa Watz.

Jina lako litukuzwe............Amen

Mimi nakumbuka niliomba sana kwa ajili ya baba yangu na akafa mwaka 2005. Tena tukalia sana familia kwa ajili ya mama akafa July 2011. Kama

faili lake Mungu keshalitoa kwenye Shelf basi Liwe liwalo kazi ya Mungu haina makosa.Tanzania ipo na itaendelea. CCM WANGA.
 
Mungu apishilie mbali...............kuna mtu alinieleza a week ago, kuwa hali yake ilikuwa sio nzuri sana. Ee Bwana YESU nakuomba damu yako iliyomwagika pale Kalvari imponye baba huyu. Naamini katika uponyaji, kama ulimfufua Lazaro naamini utamponya baba huyu maana kama Martha na dada yake walivyolia na kuomboleza kwa ajili ya kaka yao, nami nakulilia kwa ajili ya baba huyu. Kama vile Dorkas alivyoombewa uhai tena kwa vile alikuwa anawashonea mitume makanzu, nami naomba uponyaji wa baba huyu kwa vile elimu yake na maarifa yake ni tunu kwa Watz.<br />
<br />
Jina lako litukuzwe............Amen
<br />
<br />
Amen, amen, amen.
 
Mungu apishilie mbali...............kuna mtu alinieleza a week ago, kuwa hali yake ilikuwa sio nzuri sana. Ee Bwana YESU nakuomba damu yako iliyomwagika pale Kalvari imponye baba huyu. Naamini katika uponyaji, kama ulimfufua Lazaro naamini utamponya baba huyu maana kama Martha na dada yake walivyolia na kuomboleza kwa ajili ya kaka yao, nami nakulilia kwa ajili ya baba huyu. Kama vile Dorkas alivyoombewa uhai tena kwa vile alikuwa anawashonea mitume makanzu, nami naomba uponyaji wa baba huyu kwa vile elimu yake na maarifa yake ni tunu kwa Watz.

Jina lako litukuzwe............Amen


AMEN!

Ntambaswala,

Asante kwa maombi yako mazito yaliyojaa upako wa neno la Mungu.
 
Lets pray for him,Mungu amsimamie katika machungu na mateso ya ugonjwa,imekuwa kama ghafla hivi akiwa Mbeya kumnadi Sambala kuchomoka toka Chadema alionekana mzima sana
 
Mungu apishilie mbali...............kuna mtu alinieleza a week ago, kuwa hali yake ilikuwa sio nzuri sana. Ee Bwana YESU nakuomba damu yako iliyomwagika pale Kalvari imponye baba huyu. Naamini katika uponyaji, kama ulimfufua Lazaro naamini utamponya baba huyu maana kama Martha na dada yake walivyolia na kuomboleza kwa ajili ya kaka yao, nami nakulilia kwa ajili ya baba huyu. Kama vile Dorkas alivyoombewa uhai tena kwa vile alikuwa anawashonea mitume makanzu, nami naomba uponyaji wa baba huyu kwa vile elimu yake na maarifa yake ni tunu kwa Watz.

Jina lako litukuzwe............Amen

Mimi nakumbuka niliomba sana kwa ajili ya baba yangu na akafa mwaka 2005. Tena tukalia sana familia kwa ajili ya mama akafa July 2011. Kama

faili lake Mungu keshalitoa kwenye Shelf basi Liwe liwalo kazi ya Mungu haina makosa.Tanzania ipo na itaendelea. CCM WANGA.

<br />
<br />
Amen, amen, amen.

Hivi inawezekana? Maana mwenzie EL alienda kuombewa Nigeria yeye kaenda kujisalimisha India ambako mara zote kazi yao ni kuwamalizia wanaochelewa kuondoka.

Huyu Jamaa Elimu yake siyo tunu kwa Taifa kama muombaji anavyo mwambia Mola, Mola, Rabbi na Jalali anaona na kujuwa kila kitu, huyu Jamaa anafanya kazi ambayo haiitaji hata Degree moja, ni elimu ambayo tuliipoteza na haitumiki kwa maslahi ya kujenga nchni yetu. Sidhani kama tunasomesha watu wawe Maprof ili wakawe wanasiasa na wabunge, Mbona wapo Darasa la Saba wabunge wazuri na wanaotetea Watanzania kuliko hawa mbwa mwitu!

Huyu Jamaa amekuwa Bungeni miaka yote sijawai kumsikia akitoa hata sauti yake kwa ajili ya kutete Maskini wa nchni hii, ni watu wanao amini katika utu wao binafsi na kujenga familia zao huku mamia kwa mamia wakila taabu na wao wakila raha na watoto wao. Hana faida yoyote kwa Umma bali kwa familia yake pekee.

Ee Mwenyezi Mungu umuhukumu kwa kadri ya dhambi zake, maana umesema kila nafsi itaonja mauti, na iwe hivyo.
 
Huyu Jamaa amekuwa Bungeni miaka yote sijawai kumsikia akitoa hata sauti yake kwa ajili ya kutete Maskini wa nchni hii, ni watu wanao amini katika utu wao binafsi na kujenga familia zao huku mamia kwa mamia wakila taabu na wao wakila raha na watoto wao. Hana faida yoyote kwa Umma bali kwa familia yake pekee.

Ee Mwenyezi Mungu umuhukumu kwa kadri ya dhambi zake, maana umesema kila nafsi itaonja mauti, na iwe hivyo.


hii ni pumba na chuki binafsi labda, tangia aingie ubunge mwaka 2000 amepita bila kupingwa jimboni kwake, amefanya kazi kwa vitendo nenda ukaone miradi na kazi alizofanya jimboni (umeme, maji, shule, barabara...etc)...kwasababu alikuwa waziri serikali tawala muda wote, maswali yote ya maendeleo yameulizwa kwa maandishi...hiyo ndo etiquette ya bunge
 
kwa taarifa nilizopata mzee amerudi ila hali sio nzuri amepumzika tu nyumbani na kinachosubiriwa apate nafuu na kung'atuka kwenye siasa.
 
hii ni pumba na chuki binafsi labda, tangia aingie ubunge mwaka 2000 amepita bila kupingwa jimboni kwake, amefanya kazi kwa vitendo nenda ukaone miradi na kazi alizofanya jimboni (umeme, maji, shule, barabara...etc)...kwasababu alikuwa waziri serikali tawala muda wote, maswali yote ya maendeleo yameulizwa kwa maandishi...hiyo ndo etiquette ya bunge

Kuweka Umeme, Maji, Barabara siyo kazi ya Mbunge labda kama unasinzia kufikiri.

Chuki binafsi zipi? Pumba unazo wewe na wazazi wako waliokuzaa, hana msaada wowote huyo Mungu anajuwa.
 
kwa taarifa nilizopata mzee amerudi ila hali sio nzuri amepumzika tu nyumbani na kinachosubiriwa apate nafuu na kung'atuka kwenye siasa.

Huyu Jamaa alipoteza muda wake kusoma, sikubaliani na watu wanaopoteza fedha nyingi kwenye elimu kwa ajili ya kuja kugombe Ubunge.
 
nilisikia anasumbuliwa na kansa ya damu na hali yake bado ni tete yuko india hajarudi na habari nyingine nilizo zikia kuwa yule mpinzaniwake wa ubunge mbeya amesha anza kampeni za chini kwa chini ili aweze kuchukua jimbo kwani punde prof atakapo rejea kutoka india ataachia ngazi kote kuanzia ubunge hadi uwaziri.

BornTown wacha hiyo maneno yawezachazua hali ya hewa bure! Mtu akiugua mwombee tu apone. Mambo ya kazi tuyajadili akiwa na afya njema.
 

Hivi inawezekana? Maana mwenzie EL alienda kuombewa Nigeria yeye kaenda kujisalimisha India ambako mara zote kazi yao ni kuwamalizia wanaochelewa kuondoka.

Huyu Jamaa Elimu yake siyo tunu kwa Taifa kama muombaji anavyo mwambia Mola, Mola, Rabbi na Jalali anaona na kujuwa kila kitu, huyu Jamaa anafanya kazi ambayo haiitaji hata Degree moja, ni elimu ambayo tuliipoteza na haitumiki kwa maslahi ya kujenga nchni yetu. Sidhani kama tunasomesha watu wawe Maprof ili wakawe wanasiasa na wabunge, Mbona wapo Darasa la Saba wabunge wazuri na wanaotetea Watanzania kuliko hawa mbwa mwitu!

Huyu Jamaa amekuwa Bungeni miaka yote sijawai kumsikia akitoa hata sauti yake kwa ajili ya kutete Maskini wa nchni hii, ni watu wanao amini katika utu wao binafsi na kujenga familia zao huku mamia kwa mamia wakila taabu na wao wakila raha na watoto wao. Hana faida yoyote kwa Umma bali kwa familia yake pekee.

Ee Mwenyezi Mungu umuhukumu kwa kadri ya dhambi zake, maana umesema kila nafsi itaonja mauti, na iwe hivyo.


Jamani punguza kidogo makali. Utaumiza nafsi za wanafamilia, ndugu, jamaa na marafiki wa huyu ndugu. Mgonjwa ni kumwombea apone. Mengine yatafuata akiwa mzima.
 
Back
Top Bottom