Mungu apishilie mbali...............kuna mtu alinieleza a week ago, kuwa hali yake ilikuwa sio nzuri sana. Ee Bwana YESU nakuomba damu yako iliyomwagika pale Kalvari imponye baba huyu. Naamini katika uponyaji, kama ulimfufua Lazaro naamini utamponya baba huyu maana kama Martha na dada yake walivyolia na kuomboleza kwa ajili ya kaka yao, nami nakulilia kwa ajili ya baba huyu. Kama vile Dorkas alivyoombewa uhai tena kwa vile alikuwa anawashonea mitume makanzu, nami naomba uponyaji wa baba huyu kwa vile elimu yake na maarifa yake ni tunu kwa Watz.
Jina lako litukuzwe............Amen
Mungu apishilie mbali...............kuna mtu alinieleza a week ago, kuwa hali yake ilikuwa sio nzuri sana. Ee Bwana YESU nakuomba damu yako iliyomwagika pale Kalvari imponye baba huyu. Naamini katika uponyaji, kama ulimfufua Lazaro naamini utamponya baba huyu maana kama Martha na dada yake walivyolia na kuomboleza kwa ajili ya kaka yao, nami nakulilia kwa ajili ya baba huyu. Kama vile Dorkas alivyoombewa uhai tena kwa vile alikuwa anawashonea mitume makanzu, nami naomba uponyaji wa baba huyu kwa vile elimu yake na maarifa yake ni tunu kwa Watz.
Jina lako litukuzwe............Amen
<br />Mungu apishilie mbali...............kuna mtu alinieleza a week ago, kuwa hali yake ilikuwa sio nzuri sana. Ee Bwana YESU nakuomba damu yako iliyomwagika pale Kalvari imponye baba huyu. Naamini katika uponyaji, kama ulimfufua Lazaro naamini utamponya baba huyu maana kama Martha na dada yake walivyolia na kuomboleza kwa ajili ya kaka yao, nami nakulilia kwa ajili ya baba huyu. Kama vile Dorkas alivyoombewa uhai tena kwa vile alikuwa anawashonea mitume makanzu, nami naomba uponyaji wa baba huyu kwa vile elimu yake na maarifa yake ni tunu kwa Watz.<br />
<br />
Jina lako litukuzwe............Amen
Mungu apishilie mbali...............kuna mtu alinieleza a week ago, kuwa hali yake ilikuwa sio nzuri sana. Ee Bwana YESU nakuomba damu yako iliyomwagika pale Kalvari imponye baba huyu. Naamini katika uponyaji, kama ulimfufua Lazaro naamini utamponya baba huyu maana kama Martha na dada yake walivyolia na kuomboleza kwa ajili ya kaka yao, nami nakulilia kwa ajili ya baba huyu. Kama vile Dorkas alivyoombewa uhai tena kwa vile alikuwa anawashonea mitume makanzu, nami naomba uponyaji wa baba huyu kwa vile elimu yake na maarifa yake ni tunu kwa Watz.
Jina lako litukuzwe............Amen
Mungu apishilie mbali...............kuna mtu alinieleza a week ago, kuwa hali yake ilikuwa sio nzuri sana. Ee Bwana YESU nakuomba damu yako iliyomwagika pale Kalvari imponye baba huyu. Naamini katika uponyaji, kama ulimfufua Lazaro naamini utamponya baba huyu maana kama Martha na dada yake walivyolia na kuomboleza kwa ajili ya kaka yao, nami nakulilia kwa ajili ya baba huyu. Kama vile Dorkas alivyoombewa uhai tena kwa vile alikuwa anawashonea mitume makanzu, nami naomba uponyaji wa baba huyu kwa vile elimu yake na maarifa yake ni tunu kwa Watz.
Jina lako litukuzwe............Amen
Mimi nakumbuka niliomba sana kwa ajili ya baba yangu na akafa mwaka 2005. Tena tukalia sana familia kwa ajili ya mama akafa July 2011. Kama
faili lake Mungu keshalitoa kwenye Shelf basi Liwe liwalo kazi ya Mungu haina makosa.Tanzania ipo na itaendelea. CCM WANGA.
<br />
<br />
Amen, amen, amen.
Huyu Jamaa amekuwa Bungeni miaka yote sijawai kumsikia akitoa hata sauti yake kwa ajili ya kutete Maskini wa nchni hii, ni watu wanao amini katika utu wao binafsi na kujenga familia zao huku mamia kwa mamia wakila taabu na wao wakila raha na watoto wao. Hana faida yoyote kwa Umma bali kwa familia yake pekee.
Ee Mwenyezi Mungu umuhukumu kwa kadri ya dhambi zake, maana umesema kila nafsi itaonja mauti, na iwe hivyo.
hii ni pumba na chuki binafsi labda, tangia aingie ubunge mwaka 2000 amepita bila kupingwa jimboni kwake, amefanya kazi kwa vitendo nenda ukaone miradi na kazi alizofanya jimboni (umeme, maji, shule, barabara...etc)...kwasababu alikuwa waziri serikali tawala muda wote, maswali yote ya maendeleo yameulizwa kwa maandishi...hiyo ndo etiquette ya bunge
kwa taarifa nilizopata mzee amerudi ila hali sio nzuri amepumzika tu nyumbani na kinachosubiriwa apate nafuu na kung'atuka kwenye siasa.
nilisikia anasumbuliwa na kansa ya damu na hali yake bado ni tete yuko india hajarudi na habari nyingine nilizo zikia kuwa yule mpinzaniwake wa ubunge mbeya amesha anza kampeni za chini kwa chini ili aweze kuchukua jimbo kwani punde prof atakapo rejea kutoka india ataachia ngazi kote kuanzia ubunge hadi uwaziri.
Hivi inawezekana? Maana mwenzie EL alienda kuombewa Nigeria yeye kaenda kujisalimisha India ambako mara zote kazi yao ni kuwamalizia wanaochelewa kuondoka.
Huyu Jamaa Elimu yake siyo tunu kwa Taifa kama muombaji anavyo mwambia Mola, Mola, Rabbi na Jalali anaona na kujuwa kila kitu, huyu Jamaa anafanya kazi ambayo haiitaji hata Degree moja, ni elimu ambayo tuliipoteza na haitumiki kwa maslahi ya kujenga nchni yetu. Sidhani kama tunasomesha watu wawe Maprof ili wakawe wanasiasa na wabunge, Mbona wapo Darasa la Saba wabunge wazuri na wanaotetea Watanzania kuliko hawa mbwa mwitu!
Huyu Jamaa amekuwa Bungeni miaka yote sijawai kumsikia akitoa hata sauti yake kwa ajili ya kutete Maskini wa nchni hii, ni watu wanao amini katika utu wao binafsi na kujenga familia zao huku mamia kwa mamia wakila taabu na wao wakila raha na watoto wao. Hana faida yoyote kwa Umma bali kwa familia yake pekee.
Ee Mwenyezi Mungu umuhukumu kwa kadri ya dhambi zake, maana umesema kila nafsi itaonja mauti, na iwe hivyo.