Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
na Nyerere alishawaonya. Waache wajidanganye wakidhani kuwa karume na Maalim Seif ni wamojaWazanzibar wanaichukulia Bara ambayo ni Tanganyika kama wakoloni weusi. Hii dhambi ya kuanza kubaguana kama hivi ikisha ingia damni sijui tutaelekea wapi? Wengine tunatarajia kuchumbia znz.