Nonji
Member
- Nov 22, 2017
- 24
- 8
Wakuu habari!?
Naomba msaada katika ujazaji wa maombi ya mikopo ya elimu ya juu.
Nimejaza vipengele vyote lakini nimekwama katika hatua za mwisho kwenye Declarations and Signature.
Sehemu hizi:-
1. Attach page 2 of your Application form-After being signed and athourised by applicant, Commissioner of paths and Local Government leaders
2. Attach Page five (5) of your Application form after attestation
Swali langu ni je hizo pages (2& 5) natoa wapi?
Naamini nitajibiwa vema.
Naomba msaada katika ujazaji wa maombi ya mikopo ya elimu ya juu.
Nimejaza vipengele vyote lakini nimekwama katika hatua za mwisho kwenye Declarations and Signature.
Sehemu hizi:-
1. Attach page 2 of your Application form-After being signed and athourised by applicant, Commissioner of paths and Local Government leaders
2. Attach Page five (5) of your Application form after attestation
Swali langu ni je hizo pages (2& 5) natoa wapi?
Naamini nitajibiwa vema.