bcsolution
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 394
- 176
Kuna dawa inaitwa gentriderm iko kitube kidogo hivi inauzwa 2000 mpaka 3000 pharmacy, jaribu hiyo ...na usiache hospital kwenda .. na pia kama itawezekana nunua mashine yako ya nywele ukienda salun nenda nayo kuepuka kutumia zao na kubeba maambukizi..