Kusema ukweli hata kama IT tulikua 101 wakati wanataka nafasi 1 nina uhakika hawajaita maana sijaitwa.Nasema hivo kwa sababu maswali yale ya written almost yote niliyapatia na zaidi CV yangu imesimama, so mkuu kwa imani thabiti nakuhakikishia hawajaita maana SIJAITWA