The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,456
- 6,760
Kabisa na chombo naiona ipo vizuri japo haiwezi kuifikia samsung S8+ ila inatosha kabisainatosha sana kwa natumizi ya kibongobongo
Kabisa na chombo naiona ipo vizuri japo haiwezi kuifikia samsung S8+ ila inatosha kabisainatosha sana kwa natumizi ya kibongobongo
Nipe Specifications zake na beiNjoo Nokia
Kabisa kaka.Kuna watu simu zinawatesa kuliko hata jiwe anavyowatesa wapinzani.
Kuna swali la msingi la kujiuliza hapa,je hizo simu za Samgsung unazozizungumzia ni original?Kwa sababu hakuna kazi ngumu kama kutafuta simu original bongo!Vioo vya samsung ni delicate sana, nina J7 pro kioo kimevunjika mara 3, hii mara ya mwisho nilibahatika kiliweka cracke tu..nimeacha ikija kufa ndo bas siwez badilisha tena.
Ila nina Iphone haina hata screen protector ila hakuna hata mkwaruzo
Kwani hizi Iphone zinazotumiwa hapa bongo ni OG?? Ujinga wa Iphone ni fingerprint zinafeli sana. Samsung Vioo, tukubali 90% ya watz hawatumii 1st class electronic devicesKuna swali la msingi la kujiuliza hapa,je hizo simu za Samgsung unazozizungumzia ni original?Kwa sababu hakuna kazi ngumu kama kutafuta simu original bongo!
Kuna swali la msingi la kujiuliza hapa,je hizo simu za Samgsung unazozizungumzia ni original?Kwa sababu hakuna kazi ngumu kama kutafuta simu original bongo!
Sasa kama simu tunazotumia ni fake na refurbished hatupaswi kabisa kalaumu kampuni zinazotengeneza simu hizo kwamba wanatengeneza simu ambazo hazina ubora!Kwani hizi Iphone zinazotumiwa hapa bongo ni OG?? Ujinga wa Iphone ni fingerprint zinafeli sana. Samsung Vioo, tukubali 90% ya watz hawatumii 1st class electronic devices
Mkuu we ni don niache nilalamike maana nalalamikia brand iliyoandikwa kwenye device yangu we mshua tumia hizo OGSasa kama simu tunazotumia ni fake na refurbished hatupaswi kabisa kalaumu kampuni zinazotengeneza simu hizo kwamba wanatengeneza simu ambazo hazina ubora!
fingerprint inakufa baada ya kibadilisha kioo mkuu.Kwani hizi Iphone zinazotumiwa hapa bongo ni OG?? Ujinga wa Iphone ni fingerprint zinafeli sana. Samsung Vioo, tukubali 90% ya watz hawatumii 1st class electronic devices
Naombeni kujua bei ya kioo cha samsung s6edge+ jamani......kile cha superamoled maana naskia siku hizi vipo fake...Naishi darSio simu za bei rahisi Bali refurbished.
Huo wino ilishatoa toka huko ughaibuni wajanja wakacheza nayo ukaja kupigwa wewe huku.
Kama ulinunua mpya na warranty ya miaka 2 ya Samsung Africa peleka kwa wakala wao itatengenezwa Bure tu.
Kioo si chini ya laki 2 pamoja na ufundi ni around laki 3.Naombeni kujua bei ya kioo cha samsung s6edge+ jamani......kile cha superamoled maana naskia siku hizi vipo fake...Naishi dar
Hapana mkuu staki kioo kilcho kwisha tumika bora niingie dukani ninunue kioo kipya,Vioo vilivyo toka kwenye simu nyingine naviogopa naombeni mnisaidie duka zuri linalo uza vioo vya hizi simuKioo si chini ya laki 2 pamoja na ufundi ni around laki 3.
Flagship za zamani Mara nyingi unazipata bei rahisi kuliko kioo.
Hapo tafuta simu iliokufa toa kioo, ama kama una fundi unaemfahamu muulize Kuhusu vioo used kama vinapatikana eneo lako.
Hapana mkuu staki kioo kilcho kwisha tumika bora niingie dukani ninunue kioo kipya,Vioo vilivyo toka kwenye simu nyingine naviogopa naombeni mnisaidie duka zuri linalo uza vioo vya hizi simu
Kama unaishi Dar usithubutu kupeleka pua yako hapo Kariakoo!Naombeni kujua bei ya kioo cha samsung s6edge+ jamani......kile cha superamoled maana naskia siku hizi vipo fake...Naishi dar
Kama unaishi Dar usithubutu kupeleka pua yako hapo Kariakoo!
Hapana mkuu staki kioo kilcho kwisha tumika bora niingie dukani ninunue kioo kipya,Vioo vilivyo toka kwenye simu nyingine naviogopa naombeni mnisaidie duka zuri linalo uza vioo vya hizi simu
Katika simu ambayo nimeidondosha mara nyingi mpaka kuja kuipasua ni Micromax. Hii simu ina kioo kigumu sana jamani. Na sahizi ina cracks kama 600 ila bado inafanya kazi. Sehem ndg ya kioo upade wa kulia pembeni ndio imefreeze ila still naitumia kibishiKwani kaka haya uliyoyazungumzia yana uhusiano na ugumu wa kioo cha simu?(Durability).Mimi nilikuwa nataka kukuuliza juu ya ugumu(durability) ya kioo cha simu,mfano nikidondosha simu kioo kisipasuke kwa urahisi.
Yaani swali langu lilijikita kwenye hilo.Mfano nategemea simu aina fulani nikiidondosha kwenye sakafu katika umbali fulani kioo chake kisipasuke lakini simu ya aina fulani nyingine nikiidondosha katika umbali huohuo basi kioo chake kinapasuka.Sasa haya yanapimwaje?
Hata hizi samsung nazo zina kioo kigumu sana ila tatizo ni kwamba watu huwa wanapigwa bila wao kujua kwa kununua samsung ambazo ni fake,copy na refurbishedKatika simu ambayo nimeidondosha mara nyingi mpaka kuja kuipasua ni Micromax. Hii simu ina kioo kigumu sana jamani. Na sahizi ina cracks kama 600 ila bado inafanya kazi. Sehem ndg ya kioo upade wa kulia pembeni ndio imefreeze ila still naitumia kibishi