EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,524
Pomoja na Tech nzuri ya Super Amoled, vyenye mwanga mng'aavu, Vioo vya hizi simu ni mtihani sana kwa watumiaji.
Yaani kuanzia toleo hilo na kuendelea vioo vinaweka mistari bila sababu ya msingi kama TCL.
vipo so delicate, weka liquid protector ongezana Glasi protector lazima vikutafutie sababu ya kukutia hasara.
pia vinaweka Vidoa vya wino kwenye vioo.
sasa kaulize bei ya kioo, bora ununue simu nyingine.
Nina Sunsung 3 kabatini sida ni vioo tu. najua madon watakuja na kusema nanunua simu za bei rahisi, well mbina Infinix, Techno, Huawei na Iphone hawana hili tatizo kwa kiasi hiki?
Ngoja nihamie OPPO A92 nione.
ONA HAPA BEI YA KIOO TU
Yaani kuanzia toleo hilo na kuendelea vioo vinaweka mistari bila sababu ya msingi kama TCL.
vipo so delicate, weka liquid protector ongezana Glasi protector lazima vikutafutie sababu ya kukutia hasara.
pia vinaweka Vidoa vya wino kwenye vioo.
sasa kaulize bei ya kioo, bora ununue simu nyingine.
Nina Sunsung 3 kabatini sida ni vioo tu. najua madon watakuja na kusema nanunua simu za bei rahisi, well mbina Infinix, Techno, Huawei na Iphone hawana hili tatizo kwa kiasi hiki?
Ngoja nihamie OPPO A92 nione.
ONA HAPA BEI YA KIOO TU