CHEMPO
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 368
- 59
Hakuna kada yenye viongozi dhaifu kama ya ualimu..mishahara ya wanaowaongoza iko chini ila wao hawana shida wamelala fofofo
angalia viongozi wa kada ya afya pamoja ya kuwa mishahara ya wanaowaongoza ni yakuridhisha ila bado wanapambana kuendana na mfumuko wa bei..(mfano mwl cheti 244,000 afya chet 476000)
viongozi wa waalimu amkeni
angalia viongozi wa kada ya afya pamoja ya kuwa mishahara ya wanaowaongoza ni yakuridhisha ila bado wanapambana kuendana na mfumuko wa bei..(mfano mwl cheti 244,000 afya chet 476000)
viongozi wa waalimu amkeni