nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, Akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mitaji na Maendeleo ya kijamii Bw, Robert S. Shumake yenye Makao Makuu yake jimbo Michigan
Makamu wa Pili wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akiwa pamoja na Viongozi wa Jumuiya ya Wazanzibari Wanaoishi Umarekani mara baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika katika Hoteli ya Crown Plaza iliyopo Mjini Washington Dc. Pichani kushoto ya Balozi ni Mwenyekiti wa Jumuiya Dk. Omar Ali, akifuatiwa na Bibi Nasra Ghasani kulia ni Naibu Waziri wa Afya wa Zanzibar, Dk. Sira Ubwa Mamboya akifuatiwa na Nd.Shamis Abdulla