sosoliso
JF-Expert Member
- May 6, 2009
- 8,539
- 9,462
Hivi kweli hawa viongozi wetu wanaangalia taarifa za habari kwenye luninga..? na kama wanaangalia wanajicikiaje wanapoona wagonjwa wakizidiwa na kufikia wengine kufariki..? wanajacikiaje pale wagonjwa wanapolia kwa maumivu na mateso ya kukosa huduma..? wanajicikiaje pale wagonjwa hao pamoja na ndugu zao wanapoiomba serikali kuwanusuru na dhahama hii kwa kuwacikiliza madaktari na kulipatia ufumbuzi..? wanajicikiaje wanapoona mgonjwa akiwaunga mkono madaktari wanapodai haki yao..? na walijicikiaje pale walipoona mtoto mdogo wa miaka isiozidi 12 ambae ni mgonjwa akishauri wagonjwa wote waandamane kwenda kwa waziri mkuu..? na wana jicikiaje pale wanapoona asilimia kubwa ya wananchi wanaohojiwa wakiitupia lawama hawa viongozi wetu..?