Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,272
Hawa ndio Viongozi wa Afrika waliotumia mamilioni ya shilingi kusafiri hadi Urusi kusukuma agenda za maendeleo kwa umakini kabisa.
Jambo pekee linaloweza kuwaamsha hawa Viongozi ni wasikie tu kuna mpinzani anataka kufanya mkutano wa hadhara.
Bila shaka unaweza kuelewa ni kwa nini Rais wa Urusi, Vladimir Putin alisema Afrika ni kaburi huku mwenzake, Donald Trump akisema Afrika ni choo na haina tofauti na matako. Ninapowaambia kuzaliwa Afrika ni laana muwe mnaelewa. Afrika imesheheni watu wa hovyo hovyo kuanzia Viongozi wa Siasa, Viongozi wa Dini hadi Wananchi wenyewe wengi wao ni wa hovyo hovyo kabisa.
Je bado unashangaa ilikuwaje, Chief Mangungo wa Msovero aliposainishwa na Karl Peters mikataba ya hovyo ambayo hakuisoma na wala haielewi? Sasa hawa wakikurupuka usingingizi na wakapewa makaratasi ya mikataba hapo unategemea nini si ni kusema tu ohhh Yes yes this is a good deal I have gone through the documents, where do I sign?"
Sasa hawa wana afadhali kuna wengine hata waandishi wa habari wameona aibu kurusha picha zao.
Agenda pekee za maendeleo viongozi wengi wa Africa wanazoweza kuzisimamia bila kusinzia ni kuzuia mikutano ya viongoz wa vyama vya upinzan ili wananchi wasiambiwe uharamu wao wanaofanya na kutumia Polisi, Tume ya Uchaguzi na makada wa vyama vyao kuhakikisha kuwa wanapora uchaguzi ili wasalie madarakani.
Nasisitiza Jambo pekee linaloweza kuwaamsha hawa Viongozi ni wasikie tu kuna mpinzani anataka kufanya mkutano wa hadhara au amuote tu Bobi Wine, Dr. Kizza Besigye au Julius Malema.
Na wakirudi ukiwakosoa cha moto utakiona.
Jambo pekee linaloweza kuwaamsha hawa Viongozi ni wasikie tu kuna mpinzani anataka kufanya mkutano wa hadhara.
Bila shaka unaweza kuelewa ni kwa nini Rais wa Urusi, Vladimir Putin alisema Afrika ni kaburi huku mwenzake, Donald Trump akisema Afrika ni choo na haina tofauti na matako. Ninapowaambia kuzaliwa Afrika ni laana muwe mnaelewa. Afrika imesheheni watu wa hovyo hovyo kuanzia Viongozi wa Siasa, Viongozi wa Dini hadi Wananchi wenyewe wengi wao ni wa hovyo hovyo kabisa.
Je bado unashangaa ilikuwaje, Chief Mangungo wa Msovero aliposainishwa na Karl Peters mikataba ya hovyo ambayo hakuisoma na wala haielewi? Sasa hawa wakikurupuka usingingizi na wakapewa makaratasi ya mikataba hapo unategemea nini si ni kusema tu ohhh Yes yes this is a good deal I have gone through the documents, where do I sign?"
Sasa hawa wana afadhali kuna wengine hata waandishi wa habari wameona aibu kurusha picha zao.
Agenda pekee za maendeleo viongozi wengi wa Africa wanazoweza kuzisimamia bila kusinzia ni kuzuia mikutano ya viongoz wa vyama vya upinzan ili wananchi wasiambiwe uharamu wao wanaofanya na kutumia Polisi, Tume ya Uchaguzi na makada wa vyama vyao kuhakikisha kuwa wanapora uchaguzi ili wasalie madarakani.
Nasisitiza Jambo pekee linaloweza kuwaamsha hawa Viongozi ni wasikie tu kuna mpinzani anataka kufanya mkutano wa hadhara au amuote tu Bobi Wine, Dr. Kizza Besigye au Julius Malema.
Na wakirudi ukiwakosoa cha moto utakiona.