Viongozi wetu na Dhana ya Kujilimbikizia Mali

Regia Mtema

R I P
Nov 21, 2009
2,970
864
Wakuu .Habari!
Kuna jambo moja linanishangaza sana naomba msaada wenu katika hili. Siku za Mazishi ya Mzee Kawawa na baada ya Mazishi yake,Mzee huyu amemwagiwa sifa mbalimbali.Moja ya sifa alizomwagiwa ni kuwa Mzee huyu hakujilimbikizia Mali. Hili mimi linanishangaza sana na inawezekana kabisa kwamba labda mimi sifahamu maana ya kujilimbikizia Mali. Wakati nafuatilia mazishi yake kwa njia ya Luninga niligundua kuwa huyu Mzee alikuwa na eneo kubwa sana pale nyumbani kwake Madale to the extent that maelfu ya watanzania waliweza kushiriki kwenye mazishi yake live bila ya chenga. Pia kuna eneo kubwa tu ambalo liko reserved kwaajili ya Makaburi ya wanafamilia. Hata kule kijijini kwake alikozaliwa alikuwa na eneo kubwa tu. Vile vile nimeambiwa kwamba Sophia House zote zilikuwa za Mkewew Sophia Kawawa.,Na hizi Sophia Houses zimezagaa kila kona ya jiji la Dar es Salaam. Hizi ni baadhi tu ya Mali nilizobahatika kuzifahamu lakini katika hizi bado mi naona jamaa wala hakuishi maisha ya kawaida kama watu wanavyodai.je kujilimbikizia mali ni kupi?au mapka uwe na mahoteli Makubwa ya Kitalii? Nisaidieni jamani.
 
labda alipewa maana yeye kama kuzijenga angejenga miaka ya 80 na alistaafu miaka hiyohiyo,ardhi ilikua rahisi mno enzi hizo na madale hakuna mtu alikua anataka kwenda kuishi huko, hizo sophia apartment sidhani kama zina muda zaidi ya miaka 20,tatizo si kuwa na mali shida umezipatajepataje? au labda umeshinda bahati nasibu
 
Wakuu .Habari!
Kuna jambo moja linanishangaza sana naomba msaada wenu katika hili. Siku za Mazishi ya Mzee Kawawa na baada ya Mazishi yake,Mzee huyu amemwagiwa sifa mbalimbali.Moja ya sifa alizomwagiwa ni kuwa Mzee huyu hakujilimbikizia Mali. Hili mimi linanishangaza sana na inawezekana kabisa kwamba labda mimi sifahamu maana ya kujilimbikizia Mali. Wakati nafuatilia mazishi yake kwa njia ya Luninga niligundua kuwa huyu Mzee alikuwa na eneo kubwa sana pale nyumbani kwake Madale to the extent that maelfu ya watanzania waliweza kushiriki kwenye mazishi yake live bila ya chenga. Pia kuna eneo kubwa tu ambalo liko reserved kwaajili ya Makaburi ya wanafamilia. Hata kule kijijini kwake alikozaliwa alikuwa na eneo kubwa tu. Vile vile nimeambiwa kwamba Sophia House zote zilikuwa za Mkewew Sophia Kawawa.,Na hizi Sophia Houses zimezagaa kila kona ya jiji la Dar es Salaam. Hizi ni baadhi tu ya Mali nilizobahatika kuzifahamu lakini katika hizi bado mi naona jamaa wala hakuishi maisha ya kawaida kama watu wanavyodai.je kujilimbikizia mali ni kupi?au mapka uwe na mahoteli Makubwa ya Kitalii? Nisaidieni jamani.
Kujilimbikizia mali siyo haramu kabisa. Tatizo upatikanaji wa hizo mali ni kwa njia gani [halali au haramu]
Kuhusu mzee wetu alihamia eneo hilo wakati lilikuwa pori tu na nadhani alifanya juhudi ya kuhamasisha watu kuhamia eneo hilo. Ingawa mimi siyo msemaji wa familia lakini ninavyofahamu hizo nyumba zilizoandikwa SOFIA HOUSE siyo za kina Kawawa bali ni za wahindi. Hilo jina la sofia lisionekane kuwa ni la maremu mkewe mzee wetu.
 
Back
Top Bottom