Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 218,003
Kwa Mujibu wa Maandiko Matakatifu na vitabu vyote vya Mungu imeandikwa hivi, “MSHAHARA WA DHAMBI NI MAUTI”.
Nimeona nianze na nukuu hiyo ili kuweka kumbukumbu ya maonyo ya Mungu juu ya dhambi za Duniani nisionekane haya ninayoandika hapa nimeyatunga mwenyewe .
Hivyo basi mtu yeyote mtenda maovu kwa sababu zozote zile, tena bila kujali cheo chake, iwe kwa kiburi cha madaraka ama kiburi cha uchawi, hapaswi kuenziwa na yeyote yule katika nchi yoyote ile. Hii ni kwa sababu, kumuenzi mtu wa namna hii ni sawa na kumkufuru Mungu.
Kwahiyo ni vema Wananchi, wapambe, Mataga, Chawa na makundi mengine yaelewe kwamba, kufanya kinyume na Maagizo ya Mungu ni kujitafutia Mauti.
Nimeona nianze na nukuu hiyo ili kuweka kumbukumbu ya maonyo ya Mungu juu ya dhambi za Duniani nisionekane haya ninayoandika hapa nimeyatunga mwenyewe .
Hivyo basi mtu yeyote mtenda maovu kwa sababu zozote zile, tena bila kujali cheo chake, iwe kwa kiburi cha madaraka ama kiburi cha uchawi, hapaswi kuenziwa na yeyote yule katika nchi yoyote ile. Hii ni kwa sababu, kumuenzi mtu wa namna hii ni sawa na kumkufuru Mungu.
Kwahiyo ni vema Wananchi, wapambe, Mataga, Chawa na makundi mengine yaelewe kwamba, kufanya kinyume na Maagizo ya Mungu ni kujitafutia Mauti.