Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,491
- 3,998
Usishangae Rwanda kupiga hatua kimaendeleo kwa miaka mitano ijayo ukashangaa,japo kiongozi wake ni wa kidikteta lakini ana akili sana. Rwanda inastanili kumwacha madarakani mpaka atoke mwenyewe.
Al Sisi wa Misri yupo Sochi wa Ethiopia karibu Afrika yote ipo Sochi sisi tunakwama wapi? Tunapataje fursa za kibiashara na kiuchumi?
Kwanini kila kitu sisi ni wa mwisho na wanyuma?
Al Sisi wa Misri yupo Sochi wa Ethiopia karibu Afrika yote ipo Sochi sisi tunakwama wapi? Tunapataje fursa za kibiashara na kiuchumi?
Kwanini kila kitu sisi ni wa mwisho na wanyuma?