Viongozi wengi wa dini wapo kimaslahi na wala msisemee askofu shoo kwa maneno yake

Tajiri wa matajiri

Senior Member
Apr 17, 2024
166
641
Nashangazwa sana hawa watu ambao kutwa kumsema askofu shoo kwa maneno yake ya kumsifu Rais samia lakini watu jamii nyingi ya Watanzania ni mandumilakuwili tu leo hii akitokea askofu akimpiga spana Rais samia watu wale wale waliokuwa wanamsema askofu watageuka kumsifia askofu shoo! Hii nchi ina watu wa ajabu sana aisee

Watu wengi wakaenda mbali na kulisifu kanisa katoliki kwa msimamo wake kumbe hamna kitu aisee unakumbuka askofu kilaini alisemaga Kikwete ni chaguo la mungu? Askofu kilaini si katoliki? Askofu pengo aligeuka chawa awamu ya magufuli si mnakumbuka? Askofu ruwaichi ameshawahi kutibiwa kwa bill ya serikali enzi za magufuli je wale maaskofu waliochota fedha za escrow?
 
Siku hizi dini zimekuwa vichaka vya kupumbaza wajinga na wapumbavu,wenye akili wamekuwa free thinkers.
 
Nashangazwa sana hawa watu ambao kutwa kumsema askofu shoo kwa maneno yake ya kumsifu Rais samia lakini watu jamii nyingi ya Watanzania ni mandumilakuwili tu leo hii akitokea askofu akimpiga spana Rais samia watu wale wale waliokuwa wanamsema askofu watageuka kumsifia askofu shoo! Hii nchi ina watu wa ajabu sana aisee

Watu wengi wakaenda mbali na kulisifu kanisa katoliki kwa msimamo wake kumbe hamna kitu aisee unakumbuka askofu kilaini alisemaga Kikwete ni chaguo la mungu? Askofu kilaini si katoliki? Askofu pengo aligeuka chawa awamu ya magufuli si mnakumbuka? Askofu ruwaichi ameshawahi kutibiwa kwa bill ya serikali enzi za magufuli je wale maaskofu waliochota fedha za escrow?
Lengo la serikali ni kuwafanya watanzania wapunguze Imani kwa viongozi wa dini wawaone watu wa kawaida wapiga madili kama walivo wapiga madili wengine na hapo ndo tutaisoma namba
 
Back
Top Bottom