Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Wanachama wa ccm wenye nafasi za uongozi ni wanafiki sana,kama kuna PhD ua unafiko na uongo basi ccm wanayo!
Ni wazi kuwa chama chao.kinazalisha wanafiki na waongo,vijana wadhaifu,goigoi na wasiokuwa na msimamo wa jambo wanaloliamini na kuwa tayari kulisimamia
Akiwa waziri tena mwenye taaluma ya Udaktari alikuwa miongoni wa watu walitupagaza kuhusu sakata zima la corona na namna lilishughulikiwa na mamlaka akiwepo yeye!
Kimsingi ccm ni wanafiki sana,kila msimu wana rangi tofauti,vijana wa ccm wapo busy kusifia utawala wa sasa,na kuponda uliotangulia!ni vijana wale wale waliokuwa wanasifia utawala uliopita na ambao walikuwa wapo tayari JPM aongoze milele!
Ni wale waliokuwa mbele kutafuta kubadili katiba!
Martin Luther King Jr aliwahi kusema kama huna jambo unaloliamini na upo tayari kulisimamia hata kulifia,basi wewe ni marehemu!
Maccm wana PhD ya Unafiki
Tafakari
Ni wazi kuwa chama chao.kinazalisha wanafiki na waongo,vijana wadhaifu,goigoi na wasiokuwa na msimamo wa jambo wanaloliamini na kuwa tayari kulisimamia
Akiwa waziri tena mwenye taaluma ya Udaktari alikuwa miongoni wa watu walitupagaza kuhusu sakata zima la corona na namna lilishughulikiwa na mamlaka akiwepo yeye!
Kimsingi ccm ni wanafiki sana,kila msimu wana rangi tofauti,vijana wa ccm wapo busy kusifia utawala wa sasa,na kuponda uliotangulia!ni vijana wale wale waliokuwa wanasifia utawala uliopita na ambao walikuwa wapo tayari JPM aongoze milele!
Ni wale waliokuwa mbele kutafuta kubadili katiba!
Martin Luther King Jr aliwahi kusema kama huna jambo unaloliamini na upo tayari kulisimamia hata kulifia,basi wewe ni marehemu!
Maccm wana PhD ya Unafiki
Tafakari