Viongozi watoa maonyo wanachosha

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,475
39,991
Hivi hawa viongozi wetu wataanza lini kutekeleza majukumu yao badala ya kila siku kutoa maonyo ya kila aina kana kwamba watu wanawasikiliza. Mara "Rais kaonya hiki ama kile", mara "Waziri Mkuu ametoa maonyo kwa watu hawa na wale"... Mara "Mkuu wa Mkoa ametoa onyo kali kwa wabadhirifu na wezi wa mali ya umma waache mara moja"... Hivi haya maonyo yamepunguza ubadhirifu kwa kiasi gani? Hivi ni watu wangapi wameweza kubadili tabia zao baada ya kusikiliza maonyo ya viongozi!!! Tumechoka na maonyo ya kitoto! Ni maonyo ya kumkataza mtoto kulamba sukari, na baadaye mtoto analamba utadhani hana akili

nalizungumza hili kwa hasira leo!!!
 
Hivi hawa viongozi wetu wataanza lini kutekeleza majukumu yao badala ya kila siku kutoa maonyo ya kila aina kana kwamba watu wanawasikiliza. Mara "Rais kaonya hiki ama kile", mara "Waziri Mkuu ametoa maonyo kwa watu hawa na wale"... Mara "Mkuu wa Mkoa ametoa onyo kali kwa wabadhirifu na wezi wa mali ya umma waache mara moja"... Hivi haya maonyo yamepunguza ubadhirifu kwa kiasi gani? Hivi ni watu wangapi wameweza kubadili tabia zao baada ya kusikiliza maonyo ya viongozi!!! Tumechoka na maonyo ya kitoto! Ni maonyo ya kumkataza mtoto kulamba sukari, na baadaye mtoto analamba utadhani hana akili

nalizungumza hili kwa hasira leo!!!


Kweli #MzeeMwanakijiji
 
Hivi hawa viongozi wetu wataanza lini kutekeleza majukumu yao badala ya kila siku kutoa maonyo ya kila aina kana kwamba watu wanawasikiliza. Mara "Rais kaonya hiki ama kile", mara "Waziri Mkuu ametoa maonyo kwa watu hawa na wale"... Mara "Mkuu wa Mkoa ametoa onyo kali kwa wabadhirifu na wezi wa mali ya umma waache mara moja"... Hivi haya maonyo yamepunguza ubadhirifu kwa kiasi gani? Hivi ni watu wangapi wameweza kubadili tabia zao baada ya kusikiliza maonyo ya viongozi!!! Tumechoka na maonyo ya kitoto! Ni maonyo ya kumkataza mtoto kulamba sukari, na baadaye mtoto analamba utadhani hana akili

nalizungumza hili kwa hasira leo!!!
Kuna maonyo nimesoma leo yamenikumbusha mada hii...
 
Umelalamika hata hukutoa suluhisho, wewe ulitaka hao viongozi wafanyeje? au wawe wanafukuza/tumbua tu!

Utaempa nafasi nae akiharibu unatumbua, mwishowe wewe mtumbuaji ndio unaonekana kichaa.
 
Tunaongozwa na vichaa ambao wao wenyewe wamekiri kuwa ni vichaa. Tuvumilie tu kwa sababu nchi imevurugwa, Uhuru wa kujieleza haupo, utawala bora haufuatwi na Katiba waliyoiapa ndiyo wanaongoza kuivunja.

Haya maumivu yataendelea hadi Mungu atakapochukua roho ya huyo mbabe amabaye aliiba uchaguzi wa 2020. Sioni uwezekano wa kutoka 2025 naona hatafanya uchaguzi atakomaa tu kuwa au hakuna fedha au kuna hali ya hatari.

Na Tanzania kwa kuwa ni Taifa la WAZEMBE watakaa kimya.
 
Back
Top Bottom