Mabibi na mabwana haipo namna jamii inaweza kupata mafanikio yoyote ya maana bila ya kuwekeza kwenye umoja wa kitaifa kwanza.
Vita dhidi ya ubaguzi wa kikabila, kikanda, kidini, kijinsia, nk, ni mwendelezo wa wenye akili zao katika kusaka maendeleo endelevu katika jamii zao.
Zidumu fikra sahihi za mwalimu Nyerere (rip).
Kutegemea mafanikio tokea katika kuwagawa watu, kukwepa maridhiano ya dhati, kuuwa misingi ya demokrasia, kupalilia chuki nk, kwa namna yoyote ile hakutatuvusha.
Kwamba Zanzibar bwana yule anaonesha kuziba masikio na macho ili kujidanganya kuwa kila kitu ni sawa? Kila kitu si sawa Zanzibar na pasipokuwa na maridhiano ya kweli basi yetu macho.
Kwamba bwana huyu naye ndiyo huyo na maprofesa wake mabingwa wa mipasho? Kwamba uchaguzi ulikuwa huru, wa haki na kuaminika eti kuwa bora kabisa kuliko huko kuliko wanakoita chaguzi zenye kura za posta?
Kwamba hawa ndiyo viongozi wetu ambao hawaoni umuhimu wowote wa utangamano wala maridhiano?
Basi na tusubirie majibu kutoka kwa watu waliovunjika nyoyo.
Vita dhidi ya ubaguzi wa kikabila, kikanda, kidini, kijinsia, nk, ni mwendelezo wa wenye akili zao katika kusaka maendeleo endelevu katika jamii zao.
Zidumu fikra sahihi za mwalimu Nyerere (rip).
Kutegemea mafanikio tokea katika kuwagawa watu, kukwepa maridhiano ya dhati, kuuwa misingi ya demokrasia, kupalilia chuki nk, kwa namna yoyote ile hakutatuvusha.
Kwamba Zanzibar bwana yule anaonesha kuziba masikio na macho ili kujidanganya kuwa kila kitu ni sawa? Kila kitu si sawa Zanzibar na pasipokuwa na maridhiano ya kweli basi yetu macho.
Kwamba bwana huyu naye ndiyo huyo na maprofesa wake mabingwa wa mipasho? Kwamba uchaguzi ulikuwa huru, wa haki na kuaminika eti kuwa bora kabisa kuliko huko kuliko wanakoita chaguzi zenye kura za posta?
Kwamba hawa ndiyo viongozi wetu ambao hawaoni umuhimu wowote wa utangamano wala maridhiano?
Basi na tusubirie majibu kutoka kwa watu waliovunjika nyoyo.