Mtu wa Mungu
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 444
- 19
Hivi Mzee Ali Hassan Mwinyi kukubali kuwajibika wakati akiwa waziri wa mambo ya ndani halikuwa somo kwa taifa????????? Tujifunze nini kwa mtoto wake kutamka kijeuri kwamba hajiuzulu kwa suala nyeti hili la majanga ya kitaifa ya Mbagala na G/Mboto katika uongozi wake??
Jibu la rahisi ni tabia ya UDIKTETA ambao ulianza wakati wa Mkapa na sasa kukuzwa na Kikwete. Huu ndiyo mzizi wa majanga mfululizo maana kama viongozi hawakubali kuwajibika matokeo ni taifa lisiloheshimu sheria!
Ndiyo maana hata bungeni uvunjaji wa sheria ni jambo la kawaida! MATOKEO TUTAMALIZANA jamani; ni utaifa kwisha!!!
Jibu la rahisi ni tabia ya UDIKTETA ambao ulianza wakati wa Mkapa na sasa kukuzwa na Kikwete. Huu ndiyo mzizi wa majanga mfululizo maana kama viongozi hawakubali kuwajibika matokeo ni taifa lisiloheshimu sheria!
Ndiyo maana hata bungeni uvunjaji wa sheria ni jambo la kawaida! MATOKEO TUTAMALIZANA jamani; ni utaifa kwisha!!!