Viongozi wapya wa CHADEMA 2014-2019

Mbinu zenu zote za kuwachonganisha Mbowe na Slaa zimegonga mwamba sasa mmeamua kuja kwa ushauri mbuzi kama huu.

Chadema ni Msingi inaendeshwa kwa katiba na kanuni zake na sio kupangiana nafasi kama mnavyofanya huko CCM.
Ungejua aliendika makala hii ni kamanda kama cc usingemtusi kwa kumfananisha na MACC mkuu


:bored:
 
quote_icon.png
By FaizaFoxy

Hivi wewe mpaka leo unatafuta pesa ili ule na familia yako?

Wazee wako pesa zote walikuwa wakifanyia sherehe tu, hawakukuachia urithi kama alivyoachiwa Mbowe na wazee wake?

Hapa ndipo unaponifanya nimshukuru sana Mwenyeezi Mungu kwa kuwawezesha wazee wangu kujenga vijumba Kariakoo enzi hizo, leo wametufanya tuishi raha mustarehe kwa maisha ya bongo. AlhamduliLlah.
FaizaFoxy pamoja na ujanja wako wote kumbe unategemea vijumba vya kurithi,

Jiandae kujenga nyumba yako kabla hamjaanza kuuana kwa kugombea urithi.
 
Ungejua aliendika makala hii ni kamanda kama cc usingemtusi kwa kumfananisha na MACC mkuu


:bored:
Hata Kitila, Zitto na Mwigamba walikuwa makamanda wakuu wa Chadema lakini waliandika waraka wa kusaliti chama sembuse huyo kamanda wako wa facebook.
 
Kwa hiyp Faiza we una kula hivyo vinyumba na nguo unavaa hizo nyumba,hongeraa mwayaaa

AlhamduliLlah. Of course. Hujuwi kuwa leo hii Kariakoo ndio moja ya "prime location" kwa real estate Tanzania? nakula kutokana na nnavaa (na sizimalizi zinabaki kibao kufanyia vi miradi vingine) kutoka kwenye kodi ya hayo majumba, si vinyumba tena.

Moja Lumumba, moja Swahili, mbili gerezani, moja Narung'ombe mbali ya viji-asset vingine vya Ilala, Magomeni, Msasani na kwingineko. Madogo hayo? AlhamduliLlah, wazee wametuneemesha na hatuna cha kuwalipa zaidi ya kuwaombea dua za kheri tu.
 
Ndugu, maoni na mtazamo wako ni mzuri sana tatizo katika hiyo list yako sijaona hata mchaga mmoja(labda Mnyika ambaye ni mchanganyiko), hivyo kamwe usitegemee safu ya uongozi ya namna hiyo yaweza tokea CDM
 
FaizaFoxy pamoja na ujanja wako wote kumbe unategemea vijumba vya kurithi,

Jiandae kujenga nyumba yako kabla hamjaanza kuuana kwa kugombea urithi.

Tugawane leo? tumegawana miaka 20 iliyopita. Na kwanini tugombane kwa urithi wakati Kiislaam hesabu zote ziko wazi? wanaogombana ni wale wasiofata dini yao na maamrisho yake, mimi nashkuru kwetu hatukuwa na tatizo hilo.
 
Hivi huwa mnatafuta pesa kula na familia zenu saa ngapi?

Hilo tukuulize wewe maana kwa miaka minne umeandika/post articles takribani 14,895,umetoa likes 5451 kwa watani inaonyesha ulikuwa unaandika takriban 20 kwa siku.

Takwimu zako zinaonyesha wewe ni jobless,unashinda jamii forum,natia shaka Unatumia kichwa chako........
 
Prof,safari kwani Mpemba? Wachambuzi wengine bana .....[/QUOTE

that y nafikiri mwandishi wa andiko hili katoa fursa ya kukosolewa,by the way unapokosoa utoe wew majibu nami nikuulize kwani pro Safari anatokea kipande ipi ya nchi?zaidi ya makala hiyo tembelea kundi hili ndani ya FB"Dk Slaa 2015 vs Lowassa 2015 ukamkosoe mwnyewe pengine atakujibu
nijuavyo mimi ni kuwa Prof. Safari anatokea Mtwara na sio Zanzibar.
 
Hii nimeitoa kwenye facebook ya kamanda wetu mtajwa hapo chini,tusome

Mtazamo wangu
huku makamanda wa CDM tukiwa tunaelekea kwenye chaguzi mbalimbali za ndani ya chama napenda kutoa mtazamo wangu juu ya nani anafaa wapi na kwa nafasi gani.
1: Dr. Willibrord Slaa,mwenyekiti wa chama hii ni kutokana ni ukweli kwamba dk Slaa bado anafaa kugombea nafasi nyeti ya urais waJMHT hapo mwaka 2015,hivyo anahitaji kupumzika kutoka kwenye shughuli ngumu ya ukatibu mkuu,ambayo kimsingi ni nafasi ya kiutendaji zaidi,hivyo inahitaji mtu ambaye anaweza kuzunguka zaidi maeneo mbalimbali nchini na kuimarisha chama nafasi hiyo inafaa kuchukuliwa na kijana,na dk akabakia kama msimamizi mkuu wa mambo ya chama,then hii italeta heshima zaidi na itaendana na mtazamo wa jamii na vyama vya siasa kwamba mwenyekiti wa chama ndiye mala nyingi huchaguliwa kupeperusha bendera ya chama kwa nafasi ya urais,angalia mfano huu,ndani ya CCM mwenyekiti ndiye huwa rais ama mgombea urais,vilevile CUF na baadhi ya vyama,pia kuwa mwenye kiti itamsaidia katika kupunguza maadui wa ndani na nje ya chama,kwa mfano kwa nafasi yake ya sasa kma mtendaji mkuu wa chama ndiye husimamia maamuzi ya vikao vyote na kuhakikisha yanatekelezwa,mfano sakata la Zitto Kabwe,Mtela MwampambaJuliana Shonza Chagulani AdamsHabib Mchange na wengine ambao walichukuliwa hatua mbalimbali na chama wamekuwa ama wao wenyewe ama wafuasi wao wamekuwa wakimnyoshea kidole na hata wengine kumtukana kwa madai kwamba yeye ndo amesababisha wafukuzwa ama wasimamishwe,hii inamwongezea maadui wanaomshambulia kila mahala misri ya mbwa mwitu,na hata kwa nafasi yake ya ukatibu mkuu inawapa wapinzani wetu kutoka CCM kumwandama sana mitandaoni na huko mitaani wakiamni yeye ndo sababu ya CCM kuchukiwa,akiwa mwenyekiti itapunguza msuguano huu.

2:profesa Baregu,makamu mwenyekiti,huyu kwangu mimi amekuwa mwanasiasa anayefanya siasa za taratibu na zisizo sukumwa na hisia(emotion)akiwa makamu mwenyekiti kwa kusaidiana na mwenyekiti wake dk Slaa,watakiinua sana chama kutokana na busara zao pevu na wavumilivu,huyu pia atakuwa nguzo ya kuongeza wasomi zaidi wa kada yake.

3:John Mnyika,huyu anafaa kuwa katibu mkuu wa chama chetu,hii inatokana na kuwa anakubalika zaidi miongoni mwa vijana wa CDM mbali na Zitto Zuberi Kabwe,anachomshinda Zitto yeye hana makundi mengi ya wazi ama ya siri ndani na nje ya chama kama vijana wengine,hii itakisaidia chama kwa kuwaonganisha vijana na kuwaongoza katika kuikomboa nchi hii kutoka kwa CCM "(black colonialist)pia Mnyika amekuwa mfano bora miongoni mwa wabunge vijana nchini kwa kuibua hoja mbalimbali bungeni na zinafika mwisho,pia kwa nafasi yake ya kiongozi wa kurugenzi ya habari na uenezi ya chama ameitendea haki sana nafasi yake kabla na baada ya kuwa mbunge,wamekuwa imara kukisemea chama na kujibu mambo mbalimbali kwa haraka na kutoa majibu mujarabu kwenye hoja husika,pia kutokana na umri wake ana nafasi kubwa ya kukitumikia chama zaidi ,hivyo akiwa katibu mkuu wa chama atakipeleka chama mbele zaidi.

4:Kasulumbayi (mbunge)huyu ameweza sana wakati wa kampeni za Igunga japo tulichakachuliwa,na amekuwa na ushawishi sana kanda ya ziwa zaidi ana misimamo thabiti na isiyoyumba wala kutekeleka,huyu atakuwa kete nzuri sana kwa watu wa rika la kati na hivyo kuongeza viti na kura nyingi kanda ya ziwa.

5:Mohamedi Mtoi,huyu ataweza sana kuvaa viatu vya Mnyika kuuongoza kurugenzi ya Habari na uenezi ya chama mbali ameibuka juzijuzi ndani ya siasa za CDM bt ameonesha kuweza sana kukitetea chama hivyo akiaminiwa na chama na kupewa nafasi anaweza sana.

6:pastrobasi Pascal,mwenyekiti wa BAVICHA taifa,huyu jamaa ni graduate wa LLM SAUT na pia amewahi kuongoza tawi la CDM SAUT hapo kwa mafanikio kipindi chake cha uongozi,pia amekuwa na ushawishi kisiasa kanda ya ziwa hasa kwa vijana,huyu jamaa anaweza sana kumpokea kamanda John Heche kijiti hicho,jamaa hana jazba na anajua kuchambua mambo kwa kina na kwa sasa ndo mwanasheria na HR wa SAHARA COMPANY ya bwana Diaro huku akiibuka mwanafunzi bora wa sheria mwaka aliohitimu,atatuunganisha sana vijana coz hana makundi ,hivyo kuelekea 2015 atatufaa kiutendaji ndani ya chama.

7:Halima James Mdee,huyu anafaa sana kuwa mwenyekiti wa BAWACHA,Kwanza ni mwanamke jasiri na shujaa sana ndani ya chama na nje ya chama,kama mtakumbuka ndo alimtoa jasho Mbatia kuwa mbunge wa Kawe,mpaka aliposubiri huruma ya rais Jk,kwa nafasi hiyo atawashawishi wanawake wengi kujiunga nasi na hatimaye kutwaa nchi 2015,

8Jesca Kishoa,katibu BAWACHA ,ni binti mdogo kiumri na ndo kwanza amemaliza chuo mwaka huu,bt ameweza sana kufanya siasa jimboni Iramba kiasi cha kumtisha naibu katibu mkuu CCM Mwigulu Nchemba na kukimbilia kutoa vitisho kwenye mitandao ya kijamii hasa JF,kwa kusaidiana na mkomavu Mdee,wanawake wengi zaidi watajiunga na chama na hivyo kuharakisha kifo cha CCM na hivyo kuikomboa nchi hii kutoka kwenye lindi la umasikini.

9:professa Abdalah Safari,huyu anafaa kuwa mwenyekiti wa CDM Zanzibar,huyu ni mwanazuoni anaeweza sana siasa za kutulia na atatusaidia sana kuongeza wanachama kutoka huko visiwani Zanzibar,mbali na kuwa mwanasheria lakini ni mtaalamu sana wa siasa za kimataifa hivyo atatuunganisha kimataifa kwa kushirikiana na Baregu.hivyo kuleta changamoto mpya visiwani Zanzibar,ambayo kwa kipindi kirefu ilitawaliwa na vyama viwili CUF na CCM.
Zitto akifanikiwa kuvuka salama kwenye hili sakata lake atulie tu ndani ya chama asiwanie nafasi yoyote mpaka 2019,kwani kwa sasa atakigwa chama zaidi kutokana na makundi hasimu yanayosigana ndani ya chama ambayo kwa namna moja ama nyingine yamekuwa yakimhisisha,pia kma katiba itamruhusu kufanya hivyo hasa ikizingatiwa anamajukumu mengi ya kikamati ya bunge na pia mwenyekiti wangu wa chama japo katiba inampa nafasi bt aseme inatosha hapa chama alipokifikisha awaachie wengine na abakie kma mshauri tu wa chama,kwa leo naomba niishi hapa nisiwachoshe sana na huu mtazamo wangu hasa kwa kuzingatia kwamba watanzania c wapenda kusoama vitu virefu kama hivi.

by Nicholaus Kirunga 4m Kibondo Kigoma TZ
0754926271
email,nickkilunga@yahoo.com
nakaribisha maono na ukosoaji wa kistaarabu

my take:jamaa kachambua vizuri hivyo tuweke makundi kando


  • A%20S%20tongue.gif

Nadhani maoni yako ni mazuri, hongera kwa kujaribu!
 
Kusoma kuna faida ya nyongeza katika uongozi ila si lazima kusoma katika kiwango cha udoctor na uprofesor.Mtu anaweza akawa amesoma kiasi chake akawa kiongozi mzuri tu.Nyerere na mandela wamesoma kiasi lakini walikuwa na uongozi uliotukuka.
 
Waaarusha Oyeee!! Otaa taa, ino olmeeeki.
Je olmeeki ni nani ktk nchi hii??
Unajua hatutaki mtu wa kaskazini na unajua Rais hatatoka kaskazini?
Je kama nyie wa kijani mnakubali?

Wewe ni mwongo, mzushi na mpotoshaji mkubwa. Kwani wenyeviti wote CHADEMA tokea iasisiwe walikuwa wachagga?
Hebu nieleze Hayati Bob Makani, Dr. Kabouru pia walikuwa wachagga?
Mi si mchagga lakini napinga kwa dhati unyanyasaji wa watu kwa kutegemea wanatokea wapi.
 
tofauti ya mtoa mada na kina MM yeye hazungumzii mapinduzi wala madhaifu ya watajwa hapo juu ama waliopo,then yeye huu si waraka wa siri kama kina MM ni maoni yake kama wewe uwezavyo kutoa,tofauti yako na yake yeye amechambua wewe unasoma

:smile-big:
Kama hajaupeleka kwa Mbowe au Padre Slaa bado huu utakuwa ni waraka wa Siri maana JF siyo ofisi za Chadema.
 
vizuri kwa maoni yako kwa sababu mtapata mda mzuri wa kumtumikia yesu km kinavyosema kile kibabu ksichooa na haya hakina hao waislam wawili uliowataja ni gelesha tu then dont think that every muslim is a zanzabarian kmbe ndio siasa zenu hizo znz hatutak uchaf yesu na chadomo hko huko bara
 
Back
Top Bottom