Queen Esther
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,195
- 1,417
Leo jioni nimetembelea kijiwe cha kahawa, wazee wakawa wanajadiliana mithali inayisema "mkataa kwao ni mtumwa!"
Wazee hao walielezea jinsi ambavyo watu wengi wamekuja mjini wakatelekeza kwao! Mbaya zaidi hata wakifa wanataka wazikwe mjini!
Ndio maana watu wengi wanatoka vijijini kuja mijini (urbanisation). Umewahi kujiuliza kwanini? Mojawapo ni huduma za kijamii na wakati mwingine kuosha macho.
Leo hii Serikali ya Rais Magufuli inafanya mambo makubwa mijini na vijijini kiasi kwamba hata foleni za kuja mijini zinazidi kupunguza. Hayo ndiyo Maendeleo ktk uchumi wa kati. Mwananchi apate huduma zote hapo alipo!
Wengi wa wale wanaopinga Maendeleo Chato ni watu ambao wametoroka kwao hata watoto wao hawataki kuwaonesha kwao na hawana mpango wa kurudi. Tubadilike Ndg zangu. Ndio maana Rais Magufuli aliwahi kusema kuna watu hata Shule za Msingi walikosoma na Sekondari hawajawahi hata kurudi wakachangia hata Ujenzi wa darasa moja.
Wivu wa Maendeleo ni pamoja na kupenda kwenu! Pia Maendeleo Tanzania ni kila kona.
Povu ruksa Ila usinifokee tafadhali. Ukifoka sana najua wewe ni wale jiwe la gizani limewapata. Haahaa!
Wazee hao walielezea jinsi ambavyo watu wengi wamekuja mjini wakatelekeza kwao! Mbaya zaidi hata wakifa wanataka wazikwe mjini!
Ndio maana watu wengi wanatoka vijijini kuja mijini (urbanisation). Umewahi kujiuliza kwanini? Mojawapo ni huduma za kijamii na wakati mwingine kuosha macho.
Leo hii Serikali ya Rais Magufuli inafanya mambo makubwa mijini na vijijini kiasi kwamba hata foleni za kuja mijini zinazidi kupunguza. Hayo ndiyo Maendeleo ktk uchumi wa kati. Mwananchi apate huduma zote hapo alipo!
Wengi wa wale wanaopinga Maendeleo Chato ni watu ambao wametoroka kwao hata watoto wao hawataki kuwaonesha kwao na hawana mpango wa kurudi. Tubadilike Ndg zangu. Ndio maana Rais Magufuli aliwahi kusema kuna watu hata Shule za Msingi walikosoma na Sekondari hawajawahi hata kurudi wakachangia hata Ujenzi wa darasa moja.
Wivu wa Maendeleo ni pamoja na kupenda kwenu! Pia Maendeleo Tanzania ni kila kona.
Povu ruksa Ila usinifokee tafadhali. Ukifoka sana najua wewe ni wale jiwe la gizani limewapata. Haahaa!