Mzalendo Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 735
- 191
Heri ya mwaka mpya wana JF.
Uzoefu wetu katika siasa unaonyesha kuwa viongozi wengi wa nchi ambao walikuwa wanajeshi huwa hawana mafanikio ya maana. Nchi nyingi zilizotawaliwa na askari au Wanajeshi zinatawaliwa kiubabe au kwa ubadhilifu mkubwa. Ni askari wachache sana wa kutolea mfano kama Jerry Rawlings ambao wameleta mafanikio kwenye nchi yake ya Ghana. Wengine waliobaki kwa kweli ni maumivu tu. Kuna nini kimejificha?
Uzoefu wetu katika siasa unaonyesha kuwa viongozi wengi wa nchi ambao walikuwa wanajeshi huwa hawana mafanikio ya maana. Nchi nyingi zilizotawaliwa na askari au Wanajeshi zinatawaliwa kiubabe au kwa ubadhilifu mkubwa. Ni askari wachache sana wa kutolea mfano kama Jerry Rawlings ambao wameleta mafanikio kwenye nchi yake ya Ghana. Wengine waliobaki kwa kweli ni maumivu tu. Kuna nini kimejificha?