Viongozi/ wanachama wa upinzani nisiowaamini Tanzania

chibhitoke

Member
Jun 1, 2010
60
12
1. Sambwee Shitambala - Mgombea Ubunge CHADEMA- Mbeya. Huyo aliuza ubunge kwenye uchaguzi mdogo, kauza tena kwenye uchaguzi uliopita- ushahidi upo wazi kabisa- kila mtu anajua

2. Prof. Lipumba- Tangu ''alipovunjwa'' mkono na kutishiwa kuwa ana asili ya nchini kwetu( Burundi) amekuwa ni CCM 'B'

3. Thomas Nyimbo- Afisa Usalama- aliwauza PONA ( Maslahi yake mbele zaidi)

4. SHibuda John- Haaminiki kabisa

5. Seif Shariif Hamad- Maslahi yake mbele ni msaliti- kumbuka issue ya Aboud Jumbe

6. Zitto Kabwe - Anajiona anajua sana, anaamini sana (kupitiliza) katika fikra zake, anapenda sana sifa, ana mapenda makuu (magari makubwa)- hivyo ni rahisi kufika bei (akibadili dini anaweza kupata mshauri wa ajabu wa kumuongoza)
7.
 
1. Sambwee Shitambala - Mgombea Ubunge CHADEMA- Mbeya. Huyo aliuza ubunge kwenye uchaguzi mdogo, kauza tena kwenye uchaguzi uliopita- ushahidi upo wazi kabisa- kila mtu anajua

2. Prof. Lipumba- Tangu ''alipovunjwa'' mkono na kutishiwa kuwa ana asili ya nchini kwetu( Burundi) amekuwa ni CCM 'B'

3. Thomas Nyimbo- Afisa Usalama- aliwauza PONA ( Maslahi yake mbele zaidi)

4. SHibuda John- Haaminiki kabisa

5. Seif Shariif Hamad- Maslahi yake mbele ni msaliti- kumbuka issue ya Aboud Jumbe

6. Zitto Kabwe - Anajiona anajua sana, anaamini sana (kupitiliza) katika fikra zake, anapenda sana sifa, ana mapenda makuu (magari makubwa)- hivyo ni rahisi kufika bei (akibadili dini anaweza kupata mshauri wa ajabu wa kumuongoza)
7.


mbona mimi sijui. ni vyema ukeweka kwa kifupi kauzaje.
 
1. Sambwee Shitambala - Mgombea Ubunge CHADEMA- Mbeya. Huyo aliuza ubunge kwenye uchaguzi mdogo, kauza tena kwenye uchaguzi uliopita- ushahidi upo wazi kabisa- kila mtu anajua

2. Prof. Lipumba- Tangu ''alipovunjwa'' mkono na kutishiwa kuwa ana asili ya nchini kwetu( Burundi) amekuwa ni CCM 'B'

3. Thomas Nyimbo- Afisa Usalama- aliwauza PONA ( Maslahi yake mbele zaidi)

4. SHibuda John- Haaminiki kabisa

5. Seif Shariif Hamad- Maslahi yake mbele ni msaliti- kumbuka issue ya Aboud Jumbe

6. Zitto Kabwe - Anajiona anajua sana, anaamini sana (kupitiliza) katika fikra zake, anapenda sana sifa, ana mapenda makuu (magari makubwa)- hivyo ni rahisi kufika bei (akibadili dini anaweza kupata mshauri wa ajabu wa kumuongoza)
7.

Sina la kusema kwa wengine,ila kwa zitto,nilikua simwamini pia lakini pamoja na kasoro zote ulizo toa nadhani ni mapungufu ya kibinadamu ambayo kila mtu anayo,kama anajiona huo ndio udhaifu wake lakini haumfanyi kutokuwa kiongozi bora

Hao wengine,mmmmh siwaamini by 100% na shibuda atavunja chadema hapaswi kuachiwa any gap kukamata cheo ndani ya chama,2015 atataka kugombea uraisi huyu
 
1. Sambwee Shitambala - Mgombea Ubunge CHADEMA- Mbeya. Huyo aliuza ubunge kwenye uchaguzi mdogo, kauza tena kwenye uchaguzi uliopita- ushahidi upo wazi kabisa- kila mtu anajua

2. Prof. Lipumba- Tangu ''alipovunjwa'' mkono na kutishiwa kuwa ana asili ya nchini kwetu( Burundi) amekuwa ni CCM 'B'

3. Thomas Nyimbo- Afisa Usalama- aliwauza PONA ( Maslahi yake mbele zaidi)

4. SHibuda John- Haaminiki kabisa

5. Seif Shariif Hamad- Maslahi yake mbele ni msaliti- kumbuka issue ya Aboud Jumbe

6. Zitto Kabwe - Anajiona anajua sana, anaamini sana (kupitiliza) katika fikra zake, anapenda sana sifa, ana mapenda makuu (magari makubwa)- hivyo ni rahisi kufika bei (akibadili dini anaweza kupata mshauri wa ajabu wa kumuongoza)
7.
Mmeona mje na singo hii CD no 2.
 
Shitambala kwenye uchaguzi wa mdogo kujaza nafasi ya Richard Nyaulawa alijaza fomu yake bile kuwa na sahihi ya haki,u kama sheria inavyotaka na pia alirejesha fomu Jumapili

Safari hii alikutana na kigogo mmoja wa CMM toka Dar siku moja kabla matokeo hayajatangazwa- lakini mwenzie sugu aligoma kata kata. Walichoongea ni siri yao matokeo ndo hayo ambayo kila mtu hayaamini. Lakini yeye yupo tuli
 
Back
Top Bottom