EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Wakati sakata la mgomo wa madaktari likipamba moto tunaweza kuwa na orodha ya viongozi wa Kitanzania waliotibiwa kwenye hospitali za nje ya nchi kwa gharama za walipa kodi? Pia tunaweza kuweka aina ya magonjwa na matibabu waliyoyapata huko nje na kama hayo magonjwa yangeweza kutibiwa kwenye hospitali za Tanzania. Kwa madhumuni ya mjadala huu, hata mafua ni ugonjwa na check up ni matibabu.