Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,363
- 217,394
Huu ni ushauri tu tena ushauri wa busara kabisa , kutajwa kwao kama vinara wa kumlipa jaji zaidi ya mil 300 ili kumbeba Lipumba kwa lengo la kudhulumu haki ya CUF , ni aibu kubwa kwao na ni fedheha kwa Taifa.
Viongozi wawili wa ngazi za juu ambao wote ni wenye asili ya Zanzibar wanatajwa kujidhalilisha na kuamua kumhonga jaji aliyeshika faili lenye hukumu ya kesi ya Lipumba na wasaliti wenzake dhidi ya cuf ili kumbeba Lipumba , Kiongozi mwanamke ametajwa kutoa zaidi ya mil 150 huku yule kiongozi mwanaume akitoa zaidi ya mil 200 , hii ni aibu kubwa sana !
Ushauri wangu kwao na ambao ndio wa pekee unaofaa ni kwa wao kujiuzulu tu .
Viongozi wawili wa ngazi za juu ambao wote ni wenye asili ya Zanzibar wanatajwa kujidhalilisha na kuamua kumhonga jaji aliyeshika faili lenye hukumu ya kesi ya Lipumba na wasaliti wenzake dhidi ya cuf ili kumbeba Lipumba , Kiongozi mwanamke ametajwa kutoa zaidi ya mil 150 huku yule kiongozi mwanaume akitoa zaidi ya mil 200 , hii ni aibu kubwa sana !
Ushauri wangu kwao na ambao ndio wa pekee unaofaa ni kwa wao kujiuzulu tu .