Kweli mkuu huwa tunaoa, kuna siku Wakudadagua aalijichnganya kwenye ID zake aka post mada moja kwenye ID tatu tofauti, tulivyomfuma alikaa kama miezi mitatu bila kuonekana humu karudi juzi tu.Usisumbuke na hawa vijana. Wana ID mbili, moja ni ya kuingizia kipato, ya pili ndo wanakua wenyewe. Balaa linakuja akisahau amelogin Kwa ID hipi