Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 218,003
Hatari !
Hii ni katika ule mwendelezo wa vikao vya ndani nchi nzima , Maandalizi yote yamekamilika .
Muda na tarehe rasmi tutawawekea hapahapa , zipo tetesi kwamba mbunge wa kyela ambaye kwa sasa ni mkazi wa Dar es salaam ameomba likizo na kurejea nyumbani kwa muda , haifahamiki anasumbuliwa na nini .
Tuendelee kutega sikio .
Nakala imfikie Mwanahabari huru .
Hii ni katika ule mwendelezo wa vikao vya ndani nchi nzima , Maandalizi yote yamekamilika .
Muda na tarehe rasmi tutawawekea hapahapa , zipo tetesi kwamba mbunge wa kyela ambaye kwa sasa ni mkazi wa Dar es salaam ameomba likizo na kurejea nyumbani kwa muda , haifahamiki anasumbuliwa na nini .
Tuendelee kutega sikio .
Nakala imfikie Mwanahabari huru .