Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,562
- 217,893
- Thread starter
- #61
Mimi nitakuja hapo baada ya ccm kung'olewa kyela .Haha hapo pia yupo mdogo wake Mwamunyange,jina limenitoka kidogo,karibu,Dangote pia alikuja tumbuiza hapo,mimi sikuwepo nasikia umati ulikuwa mkubwa balaa hadi watu wa Malawi walikuja,na watu 3 wakafa kutokana na ajali na pilikapilika za siku hiyo huyu mtoto Dangote sijui anasumaku gani mkuu