PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Jihadharini na kujibu hoja nyepesi na zisizo na msingi kwa jamii kwani zinawapotezea hadhi yenu.kazi hiyo mtuachie sisi wanachama au muikabidhi kwa BAWACHA na BAVICHA.
hatutegemei viongozi kama Mbowe,Dr. Slaa, Zitto Kabwe, Tundu Lissu na mbunge yeyote kujibu propaganda zisizo na maana kwa jamii.
UKIMYA NI JIBU.
hatutegemei viongozi kama Mbowe,Dr. Slaa, Zitto Kabwe, Tundu Lissu na mbunge yeyote kujibu propaganda zisizo na maana kwa jamii.
UKIMYA NI JIBU.