Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,975
Taarifa ya habari tbc1, yadaiwa wako 80 ni mawaziri, makatibu, wabunge nk. Yadaiwa walidanganya mali zao. Majina kumi ya mwanzo yametajwa kwa mtiririko huu;
1. Anna Tibaijuka
2. Omary Nundu
3. Mathayo Davd Mathayo
4. Vuai Nahodha
5. Lazaro Nyarandu
6. Jaji Werema
7. Katibu mkuu kiongozi (huyu mpya)
8. Mr. Jundu
9.
10.
Samahani hao wawili sikuwakariri.
1. Anna Tibaijuka
2. Omary Nundu
3. Mathayo Davd Mathayo
4. Vuai Nahodha
5. Lazaro Nyarandu
6. Jaji Werema
7. Katibu mkuu kiongozi (huyu mpya)
8. Mr. Jundu
9.
10.
Samahani hao wawili sikuwakariri.