mpenda pombe
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 1,355
- 653
Muda huu nipo kituo cha salenda bridge.. Mara wanafika wanafunzi wa CBE na DIT Pamoja na watuhumiwa wao, wanadai waliahidiwa kupewa posho ya shs 10000/= wakienda uwanja wa uhuru kushuhudia sherehe za uhuru wa tanganyika... Sasa imegeuka ahadi hewa hawajapewa hela yeyote..
My take...
Kwa tukio hili Thamani ya wasomi inazidi didimia
My take...
Kwa tukio hili Thamani ya wasomi inazidi didimia