swissme
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 13,662
- 19,880
Mwisho wa mwezi umekaribia, mgawo wa ruzuku milioni 300 lazima uandikiwe. Huo ni mpango mkakati wa kula ruzuku ya mwezi
sio rambirambi za wahanga bukoba.
swissme
Mwisho wa mwezi umekaribia, mgawo wa ruzuku milioni 300 lazima uandikiwe. Huo ni mpango mkakati wa kula ruzuku ya mwezi
Huyu naeLowassa anaendelea na Kazi ya Kuiua Chadema safi sana.
ACT kimeanzishwa kwa pesa za NSSF kwa ushauri wa kitengo, madhara yake fao la kujitoa limeondolewa. Mfadhili sasa hivi kabanwa lazima kife.ACT INAZID SAMBARATIKA HUKU CHADEMA INAZID IMARIKA
SAFI SAAANA
Changamka Makamanda hu si wakati wa kulala.TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NA UMMA
Viongozi Waandamizi wa CHADEMA, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa, Freeman Mbowe leo wameendelea na ziara ya kikazi inayohusisha vikao vya ndani katika majimbo ya Kanda ya Kati (Dodoma, Morogoro na Singida), ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi wa ndani ya chama kwa kanda hiyo utakaofanyika Novemba 23, mwaka huu.
Mwenyekiti Mbowe anaongoza timu inayokwenda katika majimbo ya Mkoa wa Morogoro, akiambatana na Mjumbe wa Kamati Kuu Prof. Mwesiga Baregu, ambapo jana walikuwa majimbo ya Mlimba na Kilombero na leo wamefika majimbo ya Mikumi na Kilosa.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa (Tanganyika), Prof. Abdalla Jumbe Safari anaongoza timu iliyoko mkoani Dodoma, akiambatana na Mjumbe wa Kamati Kuu na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa na Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, Salum Mwalim, jana walifika majimbo ya Kongwa na Mpwapwa na leo wamefanya ziara katika majimbo ya Chemba na Kondoa Kaskazini na Kondoa Kusini.
Timu ya tatu inaongozwa na Naibu Katibu Mkuu Bara, John Mnyika akiambatana na Mjumbe wa Kamati Kuu na Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye ambapo jana walikuwa katika majimbo ya Singida Mashariki, Singida Magharibi, Singida Mjini na Singida Kaskazini na leo wamefika majimbo ya Manyoni Mashariki na Manyoni Magharibi (Singida) na Bahi (Dodoma).
Katika ziara hiyo, Viongozi Wakuu pamoja na Wajumbe wa Kamati Kuu wameambatana na wabunge ambao wamegawanywa katika timu mbalimbali na kupangiwa majukumu kwenye kanda 8 za upande wa Tanganyika, kati ya Kanda 10 za chama nchi nzima.
Siku ya Jumanne, Novemba 22, timu zote zitaendelea na ziara katika majimbo mengine katika mikoa hiyo mitatu kadri ya ratiba ya ziara nzima ilivyopangwa.
Novemba 23, mwaka huu Wajumbe wa Baraza la Uongozi la Kanda ya Kati watakutana kwa ajili ya kikao cha uchaguzi, kuchagua Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Mweka Hazina wa Kanda.
Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano
CHADEMA
Wanao weweseka niwakina nani?Ndoto za mchana kweupeee!
Francis nakuaminiaPamoja sana kwa kushirikiana na Mwanahabari Huru tutawaletea updates kutoka mahakamani.
[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
Wanajijua haina hata haja ya kuwataja!Wanao weweseka niwakina nani?
una uhakika hazina manufaa.... leo hii mkoa gani tanzania bara ambako chadema haijafika?? na je kuongeza wabunge na madiwani nako sio manufaa?? kura za urais kuongezeka nako sio manufaa?? muwe mnaangalia takwimu ndio mto conclusions maana chama chenu cha ccm kura zenu zinapungua kila mwaka compare jk 2005-2010- na Jpm 2015 ndo utapata majibu kama zina manufaa ama laTumeona operesheni SANGARA, M4C, UKUTA nk lakini hazina mafanikio, hiyo ni kiki ya kutafuna ruzuku tu.
Kweli we mzururaji coz hata post yako naona kama inazurura aisee....!!Ngoja niulize hizo posho wanajiandikia wenyewe kwenye hii project au mpka hawa wanao wakuta jimbon wana waachia umate mate Wa rudhuku
Yaani ninyi mnaowaza 2020 mnaniudhi mno! Hivi ndiyo upeo wenu wa kufikiri?safi sana hadi kieleweke 2020 hatufanyi kosa.
swissme
wewe unataka tuwaze rambirambi ?Yaani ninyi mnaowaza 2020 mnaniudhi mno! Hivi ndiyo upeo wenu wa kufikiri?