Kinachoiangusha Yanga ni kutofanya usajili wa maana. Wachezaji waliowasajili wengi hawana viwango kabisa.
Igeni mfano wa jirani zenu wa Simba na Azam, wanapocheza utafurahi kabisa.
Mchezaji kama Ngassa ni wa nini kumsajili? Umri umemtupa na hata mchezo anaouonyesha ni kiwango cha chini kabisa.
Ngassa anamwacha adui akidhania kuwa mpira umetoka nje matokeo yake goli la pili ukafungwa.
Sajilini wachezaji wenye viwango vinginevyo mtakuwa mnalia na kocha kila kukicha.
Zahera hana kosa lolote, tatizo ni usajili. Mumrudishe Niyonzima.
Igeni mfano wa jirani zenu wa Simba na Azam, wanapocheza utafurahi kabisa.
Mchezaji kama Ngassa ni wa nini kumsajili? Umri umemtupa na hata mchezo anaouonyesha ni kiwango cha chini kabisa.
Ngassa anamwacha adui akidhania kuwa mpira umetoka nje matokeo yake goli la pili ukafungwa.
Sajilini wachezaji wenye viwango vinginevyo mtakuwa mnalia na kocha kila kukicha.
Zahera hana kosa lolote, tatizo ni usajili. Mumrudishe Niyonzima.