kishumbaz
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 904
- 1,243
Uwazi na kutokuwa na kipya kwenye utendaji wenu...
Jitahidin ku-updates mapato na matumizi na kuwa na utamadun wa kuelezea mashabiki na wanachama mikataba ya udhamin mliyoingia na thaman zake na club inafaidika nini kwenye hiyo mikataba...na mfute migogoro na wachezaji...
Muelewe nyie ndiyo wasimamizi na waendelezaji wa rasilimali za club...
Msipokuwa na uwazi na kubadilika kuonyesha mnaendesha club kisasa kama watani wenu, mashabiki hawata waamn.
Jitahidin ku-updates mapato na matumizi na kuwa na utamadun wa kuelezea mashabiki na wanachama mikataba ya udhamin mliyoingia na thaman zake na club inafaidika nini kwenye hiyo mikataba...na mfute migogoro na wachezaji...
Muelewe nyie ndiyo wasimamizi na waendelezaji wa rasilimali za club...
Msipokuwa na uwazi na kubadilika kuonyesha mnaendesha club kisasa kama watani wenu, mashabiki hawata waamn.