Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Kama ile kambi ya South Africa vs MorogoroWakati huohuo Vyura wanataka kumlinganisha huyo na Molinga wa Tsh. Milioni20..WTF
Kama ile kambi ya South Africa vs MorogoroWakati huohuo Vyura wanataka kumlinganisha huyo na Molinga wa Tsh. Milioni20..WTF
Usifananishe Mikia bin Mbumbumbu na WakimataifaUnazingua ww hivi unawakumbuka haras el hoodod alimfanya mini simba licha ya kuwa katimu kadogo
Tangu lini kikundi cha wahuni kikawa na bajeti?Thamani ya Mikia inajukikana. Asilimia 49 za Mo Dewji na sawa na mchezaji mmoja was Pyramid. Yaani billion 20.
Thamani ya Yanga unaijua?
Kikundi cha wahuni bado kipo mashindanoni?Tangu lini kikundi cha wahuni kikawa na bajeti?
Sijasema kuwa itafungwa wewe ndio unasema soma uzi uuelewe ndio ucommentUnataka waseme Yanga itafungwa?
Kwani hao ni UD Songo?
unaona sasa..............mikia hao.Kikundi cha wahuni bado kipo mashindanoni?
Wahuni wameenda kupindua meza kwa Mashujaa. Angalia uwanja wa ovyo kabisa lakini ni size ya wahuni.
Watu tulikuwa uwanjani. Mvua imenyesha shamba la bibi limejaa maji. Unataka Azam waonyeshe mabwawa ya maji wakati mechi imeirishwa?Naona Yanga wamegoma kabisa kuzirusha mechi zao za kirafiki! Tatizo ni hao Pyramids, au?
Kwa hiyo hata mechi ya ligi kuu dhidi ya Mbao nayo watawaomba Azam tv wasiirushe?
Viongozi wa Yanga wanazingua katika hili. Kama ni kushinda tutashinda tu! Na kama imetubidi kufungwa, tutafungwa! Mambo ya kujificha ficha hayana tija kwenye soka la karne ya 21!
Yaani muda huu inatubidi tuwaangalie tu Simba wakicheza na Warundi! Wakati matangazo yalionesha mechi ya Yanga dhidi ya hiyo Pan African ingekuwa mubashara kupitia Azam sports HD!
Nimekuelewa sana. Haya Sasa, sema ukitaka viongozi was Yanga waseme nini?Sijasema kuwa itafungwa wewe ndio unasema soma uzi uuelewe ndio ucomment