The lost
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 2,695
- 8,209
Rais sema nao hao, wamevuruga biashara za watu zaidi ya mia mbili wa mji mdogo (kijiji kilichochangamka) wa Usagara na hawajawapa maeneo mbadala ya kufanyia biashara licha ya eneo kuwepo.
Takiribani miezi miwili Mkuu wa wilaya, Mkurugenzi na mwenyekiti wa halmashauri wanaleta danadana tu na hakuna wanachotekeleza.
Vijana wanalalamika na hawajui where to settle their issues.
Mama pita nao.
Takiribani miezi miwili Mkuu wa wilaya, Mkurugenzi na mwenyekiti wa halmashauri wanaleta danadana tu na hakuna wanachotekeleza.
Vijana wanalalamika na hawajui where to settle their issues.
Mama pita nao.